Wanabodi,nimepewa story na mtu wa karibu na marehemu kuwa huenda kilichosababisha jamaa kujiua ni pamoja na misukosuko ya ndoa yake...
Pamoja na hayo hii ni miongoni mwa Sheria mbovu kabisa za mirathi kwasababu. Hizi Sheria zimekwenda kuharibu ndoa za watu wengi Sana. Wanawake wamenengewa kiburiHakuna Cha contribution Kama mumeoana.Mama hata Kama ni Mama wa nyumbani mnagawana sawa yeye anafanya kazi za nyumbani wewe kazini wote mnafanya kazi.Mgao nusu kwa nusu
Ushauri mzuri Sana but ili uweze kutimiza hayo yote Kwa miaka hii inakuwa ngumu SanaSiku zote nasema.
Oa rafiki yako
Oa mtu wa kwenu
Oa mwanamke msiyepishana umri sana
Mila na desturi zizingatiwe
Usioe ukoo au jamii yenye malaya wengi
Usioe mwanamke mpumbavu
Usioe ili umalize matatizo yako ya pesa
Kwa ushauri zaidi njoo pm
Sio kweli sheria haiko hivyoHakuna Cha contribution Kama mumeoana.Mama hata Kama ni Mama wa nyumbani mnagawana sawa yeye anafanya kazi za nyumbani wewe kazini wote mnafanya kazi.Mgao nusu kwa nusu
Wanaume inatuua siri na uvumilivuNafikiria alikosa ushauri kwa wakt heshima zaidi kwa ndugu wa Marehemu muache huyo mwanamke Karma imtafune...
Mama wa nyumbani kwenye talaka huwa treated Kama mfanyakazi wa ndani hivyo wewe kama unafanya kazi naye yeye anatambuliwa hivyo
Acha kukariri mambo wewe ficha ujinga wako, huwezi kuoa mwana mke amekukuta umejenga nyumba imekamilika kwa 80% afu end of the day mgawane 50% kwa 50% hapo ujue mtagawana 20% na hiyo 80% itabaki kwa mumeMama wa nyumbani kwenye talaka huwa treated Kama mfanyakazi wa ndani hivyo wewe kama unafanya kazi naye yeye anatambuliwa hivyo
Ukikutana na jaji mbabe anakubania hapo mtagawana Mali nusu kwa nusu
Penye nia pana njia. Maombi ni muhimuUshauri mzuri Sana but ili uweze kutimiza hayo yote Kwa miaka hii inakuwa ngumu Sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Ada ya shule alilipa nani?Hakuna Cha contribution Kama mumeoana.Mama hata Kama ni Mama wa nyumbani mnagawana sawa yeye anafanya kazi za nyumbani wewe kazini wote mnafanya kazi.Mgao nusu kwa nusu
Hakika uislam ni mfumo Bora kabisa wa maishaMahakama imeamuru mali zigawanywe kwa misingi ipi? Wameangalia contribution ya kila mmoja kwenye mali? Au ndo msukumo wa boss umepindisha sheria.
Hapo kwa haraka haraka tu hakupaswa kupewa mali sawa na mumewe maana kuna ushahidi kwamba alikwenda shule huku mwenzake akiendelea kubeba jukumu la kutafuta kipato kilichosaaidia hata yeye kulipiwa ada huko masomoni.
Mtoto wa nje habari kiyi wakati hakuwaandikia barua wamzaeHakika uislam ni mfumo Bora kabisa wa maisha
Si kila mtu anataka kuwa na michepuko. Wengine huwa wanataka utulivu wa ndoa na wao wafocus na maisha katika utafutaji.Ndo tatizo la kutokuwa na michepuko hilo ,jamaa angekuwa na michepuko wala asingewaza chochote angamtema kiroho safi na kuendelea na maisha
Ni kweli lakn kwa wanaojua au waliowah kutendwa kwenye mapenzi watanielewa vizur sanaaaa,unaweza mwamini mtoto wa MTU akafanya ufe kwa stressSi kila mtu anataka kuwa na michepuko. Wengine huwa wanataka utulivu wa ndoa na wao wafocus na maisha katika utafutaji.
Sent using Jamii Forums mobile app
10000000000+% True.Mwanamke asomeshwi.............. Over......... Jitie kibuli cha mbuzi uone matokeo yake.
Ubosi mwingine mzuri sana. Yaani unakuwa boss mpaka kwa mke wa mtu! Unless kama ni tetesi, ila kama ni ukweli, huyo mtembea na wake za watu kwa ajira aliyopewa na Serikali, lazima atapoteza kazi yake muda siyo mrefu. Natamani ningekuwa na simu ya....Wanabodi,nimepewa story na mtu wa karibu na marehemu kuwa huenda kilichosababisha jamaa kujiua ni pamoja na misukosuko ya ndoa yake.
Inasemekana marehemu alikuwa akiishi vizuri tu na mke wake na alimuoa kipindi jamaa yuko TAMISEMI kashaajiriwa. Baada ya kuoa akaamua kumpeleka kumsomesha wife chuo hapo UDOM, baada ya wife kumaliza chuo jamaa akafanya makaratee wife akapata ajira Tamisemi wakaendelea vizuri
Boss mmoja inadaiwa Mkurugenzi akamtamani mke wa jamaa(marehemu) mara kidogo jamaa akatumwa kufanya kazi nje ya nchi huku bongo boss akaanza kumgegeda wife wa mchizi.
Jamaa ile anarudi bongo kamkuta wife mjamzito kuanza kumuuliza wife anajiuma uma mara wife akahamishiwa Dar kukaa tena wife akadai wagawane mali hataki tena ndoa. Wife akaenda Mahakamani sijui alikuwa akipewa backup na boss Mahakama ikaamuru nyumba itiwe kufuli asikae mtu mpaka uamuzi wa Mahakama utolewe
Jamaa inadaiwa kwao wako vizuri sana huko Sumbawanga baba yake ni mmoja wa matajiri wa mwanzo wakubwa. Jamaa alikuwa ana nyumba 4, tatu zipo Dom moja Kisasa,Ilazo na mbili Kikuyu ambapo moja ni ghorofa na nyingne ipo Moro
Basi jamaa baada kuondoshwa kwenye nyumba na Mahakama akaenda nyumba yake ya Kisasa ndio siku moja kaenda kula vyombo Morena baada ya hapo akakutwa kafa ndani ya gari kwenye parking
Baada ya msiba ndugu wa marehemu walichofanya wakamwambia yule mke wake kuwa wao hawawezi kumnyanganya mali yoyote ila kwa kuwa alizaa na ndugu yao wakamwachia nyumba zote za marehemu ili mtoto akikua atazikuta na muda mchache baada ya kifo cha jamaa yule wife kapata uhamisho kurudi tena Dodoma.
Kweli duniani hakuna fair
----
Pia Soma
Nini kimemkuta Mtumishi huyu wa Umma? Kwanini inafanywa siri?
Ndugu zangu, Machi 23, 2019 jijini Dodoma katika Hoteli ya Morena kilitokea kitu ambacho si cha kawaida. Naam, mwili wa mtumishi wa umma (jina kapuni kwa sasa lakini niseme ni D. Maufi) ulikutwa kwenye gari katika maegesho ya Hoteli ukiwa umeanza kuharibika ishara inayoonyesha kama alikuwa na...www.jamiiforums.com