Mtumishi wa umma akipata uhamisho wa muda anastahili kulipwa nini!?

Kyenyabasa

JF-Expert Member
Joined
Mar 8, 2023
Posts
247
Reaction score
715
Wakuu kama nilivyoeleza,,mtumishi wa Umma akipata uhamisho wa muda kwenda kufanya kazi sehemu flani atastahili kupata malipo ya namna gani!?

Ikipendeza niwekee na waraka au sheria inayoongoza malipo hayo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…