Kosa halikuwepo ndy maana polisi baada ya uchunguzi waliona sina kosa la kupelekwa mahakamani.My take
Fungua kesi mahakamani but jiridhishe ni kweli hukufanya kosa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Vivyo tu?Kosa halikuwepo ndy maana polisi baada ya uchunguzi waliona sina kosa la kupelekwa mahakamani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nashukuru kwa ushauri wako mkuu!fungua shauri baraza la usuluishi na upatanishi CMA lipo kila wilaya, ukiambatanisha Land Form No.1 ukieleza hayo uliyoyasema in vizuri kuambatanisha mkataba was ajira na nyaraka nyinginezo.
kwa msaada zaidi njoo dm
Naomba namba yako mkuu tutete kidogo!fungua shauri baraza la usuluishi na upatanishi CMA lipo kila wilaya, ukiambatanisha Land Form No.1 ukieleza hayo uliyoyasema in vizuri kuambatanisha mkataba was ajira na nyaraka nyinginezo.
kwa msaada zaidi njoo dm
[emoji12] [emoji12] [emoji12] usuluhishi na upatanishi is the same broh,fungua shauri baraza la usuluishi na upatanishi CMA lipo kila wilaya, ukiambatanisha Land Form No.1 ukieleza hayo uliyoyasema in vizuri kuambatanisha mkataba was ajira na nyaraka nyinginezo.
kwa msaada zaidi njoo dm
it's commission of mediation n arbitration[emoji12] [emoji12] [emoji12] usuluhishi na upatanishi is the same broh,
Acha kubumbabumba maneno. Kama kesi hii ni kweli nenda CMA ukafungue shauri la kupinga kuachishwa kazi. Ushindi njenje, utarudishwa kazinu na utakula mshahara wako wote kama vile ulikua kazinJe mfanyakazi wa umma anaweza kusimamishwa kazi na kufukuzwa kazi kwa kesi ya jinai ambayo haikufika mahakamani? Kesi iliishia polisi na mfanyakazi kuonekana hana kosa la kupelekwa mahakamani. Msaada hapa jamani. (Kesi ya kuiba)
Sent using Jamii Forums mobile app
Usuluhishi na uamuziit's commission of mediation n arbitration
nisaidie kiswahili chake
fungua shauri baraza la usuluishi na upatanishi CMA lipo kila wilaya, ukiambatanisha Land Form No.1 ukieleza hayo uliyoyasema in vizuri kuambatanisha mkataba was ajira na nyaraka nyinginezo.
kwa msaada zaidi njoo dm
labour form its a typoLand Form No. 1 ya nini tena hapo!!!?
Anachanganya mafaili huyooooLand Form No. 1 ya nini tena hapo!!!?
Ni Tume ya Usuluhishi na Uamuzi (CMA) COMMISSION OF MEDIATION AND ARBITRATION