Je mfanyakazi wa umma anaweza kusimamishwa kazi na kufukuzwa kazi kwa kesi ya jinai ambayo haikufika mahakamani? Kesi iliishia polisi na mfanyakazi kuonekana hana kosa la kupelekwa mahakamani. Msaada hapa jamani. (Kesi ya kuiba)
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app