Mtumishi wa umma jitahidi ukope kwa awamu zenye muda mfupi mfupi

Mtumishi wa umma jitahidi ukope kwa awamu zenye muda mfupi mfupi

Kila mmoja ana malengo yake kwenye maisha na hatufanani
Mimi napenda mademu wenye matege, vijeba na macho dungu.Kila mmoja ajiachie atakavyo maisha mafupi haya.
 
Processing fee ni WIZI, kwasababu ukienda kukopa suala ya kshughulikia mkopo wako ndio kazi yao, siyo tena uwalipe wao kufanya kazi yako.
Halafu eti na pesa ya wakili, ardhi nk unalipa wewe mkopaji( Hiyo ni kwa wafanyabiashara) ni wizi mtupu na sijui kwa nini serikali haingilii kati kuona huu WIZI wa waziwazi kabsa.
 
Nimeshasema mikopo yangu ni miaka mitatu mitatu , nimeajiriwa mwez wa 6 /2023 nikaenda bank kuchungulia how much naweza kupata loan nikaona ni pesa nzur naweza kujenga , nikavuta nimejenga chapu , bado finishing Tu ,
Hii finishing nitaifanya kupitia biashara zangu maana bado zina uwezo wa kunipa 30k as profit perday

Hapa nawaza tena nirud bank nikachukue mkopo wa biashara dhaman Niwekee nyumba niliyojenga kupitia mkopo wa utumish ili nipanue biashara,,, [emoji1] , nichukue mkopo wa miaka 3 ili nikishindwa kulipa nitaenda kuchukua mkopo tena kupitia mshahara nawapa hela yao ,, maana ule wa mwanzo utakuwa umeisha, hapa inahitaj akili Sana kunielewa

Hafu nyumba Ile naipangisha unakula zako 100k per month umekosa nn[emoji3]
Na Mimi nilikuwa mjuaji Kama wewe ,kwasasa nimekubali yaishe naishi chini ya dollar .

Kutoka kunywa safari na Serengeti mpaka ulanzi kwa kisingizio Cha kujali afya yangu 😭😭

Alaaniwe aliyeleta mikopo .
 
Back
Top Bottom