Mtumishi wa umma zingua yote ila sio kampeni za kitaifa, sensa, uchaguzi na mwenge

Mtumishi wa umma zingua yote ila sio kampeni za kitaifa, sensa, uchaguzi na mwenge

ndege JOHN

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2015
Posts
21,643
Reaction score
51,642
Kwa nchi yetu hakuna mambo ya moto kwa mtumishi kucheza nayo kama hayo niliyoyataja.Yaani fanya yote lewa,fanya umalaya,chezea muda wa kazi,kuwa na nidhamu mbovu hayo yote utaweza kuchukuliwa Poa wakakuacha.

Ila aisee usije kujaribu kuipinga serikali kwenye kampeni zake kwa mfano chanjo ya corona,Nko na usije kuthubutu kuchezea mwenge au kuupinga na kuu dharau aisee hapo usimpe mtu lawama lazima wakukule kichwa otherwise uwe na nguvu za ziada.
 
Nilizingua one time kulikua na issue ya uzinduzi flani. Nikaeeka ngumu kwamba siendi. Taarifa zikafika uko. Nilipigwa onyo la mdomo na mtu ambae sijawahi mdhania. Vingine vyote wananikaushia mfn kuvaa jeans, raba, tshirt, kuchelewa, ila ile siku hadi niliogopa
 
Tena kama mbishi unapigwa chini unapewa kesi ya uhujumu uchumi,acount zako zote zinapigwa ban.after 3 yrs anaambiwa huna hatia.
kwa hekaheka za kesi yako kwa miaka 3 ukiachwa huru baada ya mwaka kupita unakufa.
waongoza nchi huwa ni mafia sana tena wanakuuwa tu bila shida ukikanyaga red line.
 
Tena kama mbishi unapigwa chini unapewa kesi ya uhujumu uchumi,acount zako zote zinapigwa ban.after 3 yrs anaambiwa huna hatia.
kwa hekaheka za kesi yako kwa miaka 3 ukiachwa huru baada ya mwaka kupita unakufa.
waongoza nchi huwa ni mafia sana tena wanakuuwa tu bila shida ukikanyaga red line.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Tena kama mbishi unapigwa chini unapewa kesi ya uhujumu uchumi,acount zako zote zinapigwa ban.after 3 yrs anaambiwa huna hatia.
kwa hekaheka za kesi yako kwa miaka 3 ukiachwa huru baada ya mwaka kupita unakufa.
waongoza nchi huwa ni mafia sana tena wanakuuwa tu bila shida ukikanyaga red line.
Ref dokta ulimboka
 
Pole fundi Bishoo na ww ipo siku utakula Kitengo usikate tamaa kikubwa ndo hicho ukiwa ndani ya system zingatia maokoto ila sio kuwapinga kwenye kampeni zao aisee hawanaga huruma
kabsa mkuu kikubwa kujua kula na kipofu
 
Nilizingua one time kulikua na issue ya uzinduzi flani. Nikaeeka ngumu kwamba siendi. Taarifa zikafika uko. Nilipigwa onyo la mdomo na mtu ambae sijawahi mdhania. Vingine vyote wananikaushia mfn kuvaa jeans, raba, tshirt, kuchelewa, ila ile siku hadi niliogopa
Mimi nilikuwa najiona mlevi nalewa club nikawa sasa naogopa usalama kwamba watachafua file langu nikaja kusanuliwa na bro mmoja senior kwamba hizo sio kazi zao kufuatilia wanywaji kwanza ndo wanapenda muwe walevi wenzao
 
Back
Top Bottom