Mtumishi wa umma zingua yote ila sio kampeni za kitaifa, sensa, uchaguzi na mwenge

Mtumishi wa umma zingua yote ila sio kampeni za kitaifa, sensa, uchaguzi na mwenge

Tena kama mbishi unapigwa chini unapewa kesi ya uhujumu uchumi,acount zako zote zinapigwa ban.after 3 yrs anaambiwa huna hatia.
kwa hekaheka za kesi yako kwa miaka 3 ukiachwa huru baada ya mwaka kupita unakufa.
waongoza nchi huwa ni mafia sana tena wanakuuwa tu bila shida ukikanyaga red line.
Sure mkuu
Mfano una kibiashara chako waje wale wanaokusanya mchango wa mwenge uwatimue,halafu akaseme
Ila tunaishi kindezi saana,
 
Tena kama mbishi unapigwa chini unapewa kesi ya uhujumu uchumi,acount zako zote zinapigwa ban.after 3 yrs anaambiwa huna hatia.
kwa hekaheka za kesi yako kwa miaka 3 ukiachwa huru baada ya mwaka kupita unakufa.
waongoza nchi huwa ni mafia sana tena wanakuuwa tu bila shida ukikanyaga red line.
Mungu amrehemu Ole Mushi
 
Back
Top Bottom