Mtumishi yoyote wa serikali au polisi atakapotaka kumkamata mtu bila kufuata utaratibu wa sheria, Watanzania msikubali kukamatwa

Mtumishi yoyote wa serikali au polisi atakapotaka kumkamata mtu bila kufuata utaratibu wa sheria, Watanzania msikubali kukamatwa

Genius Man

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2024
Posts
1,012
Reaction score
2,317
Kulingana na kuongezeka kwa matukio ya utekaji nyara nchini, nitoe wito kwa watanzania wenzangu kwamba sisi kama nchi tunasheria za ukamataji na hakuna aliye juu ya sheria

Endapo ukiona mtu yoyote asiejulikana au mtumishi yoyote au polisi anafanya ukamataji bila kufuata utaratibu uliowekwa wa kisheria msikubali jiteteeni, mtaenda kusema mahakani kuwa alitaka kukamata bila kufuata utaratibu wa kisheria.

Aidha, nitoe wito kwa watumishi wa serikali na jeshi la polisi kuzingatia kufuata utaratibu wa kisheria katika kutekeleza wajibu wao na sio vinginevyo.
 
Endapo ukiona mtu yoyote asiejulikana au mtumishi yoyote au polisi anafanya ukamataji bila kufuata utaratibu uliowekwa wa kisheria msikubali jiteteeni, mtaenda kusema mahakani kuwa alitaka kukamata bila kufuata utaratibu wa kisheria.
Maandazi ya Mungu yahusike kwenye kujitetea au ndio kupiga kelele tu na watu hawajali?
 
downloadfile-1.jpg
 
Hivi TRA wanaruhusiwa kukamata mtu kisheria? Ni kwanini hawafanyi hivyo wakiwa na polisi.
Hivi wakitoa list ya magari yakakamatwa na polisi wao wakaitwa si inarahisisha kazi yao?

Ila inajulikana, hizi task force na vitengo kama hivyo ni wala rushwa wakubwa, ndio maana wanajitia kimbele mbele. Ni wakati sasa Watanzania tuamue kupambana na wahuni hawa wasiofuata sheria.
 
Kulingana na kuongezeka kwa matukio ya utekaji nyara nchini, nitoe wito kwa watanzania wenzangu kwamba sisi kama nchi tunasheria za ukamataji na hakuna aliye juu ya sheria

Endapo ukiona mtu yoyote asiejulikana au mtumishi yoyote au polisi anafanya ukamataji bila kufuata utaratibu uliowekwa wa kisheria msikubali jiteteeni, mtaenda kusema mahakani kuwa alitaka kukamata bila kufuata utaratibu wa kisheria.


aidha, nitoe wito kwa watumishi wa serikali na jeshi la polisi kuzingatia kufuata utaratibu wa kisheria katika kutekeleza wajibu wao na sio vinginevyo.
Jeshi hili la polisi siyo sawa na jeshi lile rafiki la mkoloni, jeshi lile rafiki liliondoka bila kuwa na tuhuma zozote zile. Jeshi hili litakukamata tu utake usitake kwani watakuja na silaha kumi huku wao wakiwa saba! Hapo ndipo utawajua wao si askari wa kawaida.
 
Jeshi hili la polisi siyo sawa na jeshi lile rafiki la mkoloni, jeshi lile rafiki liliondoka bila kuwa na tuhuma zozote zile. Jeshi hili litakukamata tu utake usitake kwani watakuja na silaha kumi huku wao wakiwa saba! Hapo ndipo utawajua wao si askari wa kawaida.
Piga kelele
 
Piga kelele
Mbona picha zinaonesha wakipiga kelele huku watazamaji wakiwa hatua kumi wanatia stori kama igizo la Bongo muvi.
Stendi ya Magufuli ina mamia ya abiria lakini watu wanaangalia tu! Watanzania ni watu wa ajabu na usitegemee msaada.
 
Kulingana na kuongezeka kwa matukio ya utekaji nyara nchini, nitoe wito kwa watanzania wenzangu kwamba sisi kama nchi tunasheria za ukamataji na hakuna aliye juu ya sheria

Endapo ukiona mtu yoyote asiejulikana au mtumishi yoyote au polisi anafanya ukamataji bila kufuata utaratibu uliowekwa wa kisheria msikubali jiteteeni, mtaenda kusema mahakani kuwa alitaka kukamata bila kufuata utaratibu wa kisheria.

Aidha, nitoe wito kwa watumishi wa serikali na jeshi la polisi kuzingatia kufuata utaratibu wa kisheria katika kutekeleza wajibu wao na sio vinginevyo.
Mahali popote unapochukuliwa na polisi ni lazima mjumbe wa sehemu husika ajulishwe na aelezwe sababu za kumchukuwa.
 
Mahali popote unapochukuliwa na polisi ni lazima mjumbe wa sehemu husika ajulishwe na aelezwe sababu za kumchukuwa.
hakikisha ndugu yako, rafiki yako, au jirani yako aliyekamatwa anafikishwa kwenye kituo kinacho julikana hata ukimtafuta unampata, kama ukimkosa utadili na hao walio mfuata katika kujitambulisha kwao utaona majina yao na namba zao
 
Hivi TRA wanaruhusiwa kukamata mtu kisheria? Ni kwanini hawafanyi hivyo wakiwa na polisi.
Hivi wakitoa list ya magari yakakamatwa na polisi wao wakaitwa si inarahisisha kazi yao?

Ila inajulikana, hizi task force na vitengo kama hivyo ni wala rushwa wakubwa, ndio maana wanajitia kimbele mbele. Ni wakati sasa Watanzania tuamue kupambana na wahuni hawa wasiofuata sheria.
Nchi ilipofikia mtu yeyote anaweza kuteka akijisikia kufanya hivyo.
 
Back
Top Bottom