Mtumizi ya Tissue Bar

Mtumizi ya Tissue Bar

Tabia chafu sana!
Zile napkins ni za kazi maalum pale counter na si mtu achukue kwenda nazo kumwona EVA huko banda la nyuma!
Ukiona mwanamke anafanya hivyo ujue kakokotwa Bar na mtu kwa mtindo wa Vodafasta, hakuwa na mpango wa mtoko!
Wanawake niwajuao mimi wanakuwa full makitu kule kwenye begi zao kubwa ka gunia!

dah....nisamehe shemeji....ina maana siku ile tulivyokutana ghafla ukaniambia nikanywe soda.....ndio tumefika huku.....najuta.....
 
dah....nisamehe shemeji....ina maana siku ile tulivyokutana ghafla ukaniambia nikanywe soda.....ndio tumefika huku.....najuta.....

mh..ilikuwa wapi hiyo?..na lini?...ufafanuzi plz..
 
bebii...ni siku ile tu huyu shemeji alikutana na mimi......ila huyu shemeji kimeo....sitaki uwe rafiki yake
....

alikufanya nn tena?...maana kututenganisha mabest nayo kazi..ingawa una haki bebii....au alitamka shemeji tuzime taa?..kama ni hivyo kweli kikulacho kiko....
 
Ati nini?wanatumalizia tissue za kaunta!embu jipangeni nyie visista duu uchwara mnakurupuka tu kutolewa out hujui wat wil happn latter.
 
kweli kabisa huwa wanaenda kutawazia kipindi cha nyuma kulikuwa hakuna tishu soo walikuwa wanakausha tu au wanatembea na toilet paper aka TP..

ndetichia like this

ni kweli, na uelewa pia, zamani zile kopo jeusiiiiiiii ndoo ina maji robo mdada hana hiyana anadumbukiza kopo anajichotea maji yake na kutawadha...... Loh!!!!!
 
Back
Top Bottom