Mtumizi ya Tissue Bar


dah....nisamehe shemeji....ina maana siku ile tulivyokutana ghafla ukaniambia nikanywe soda.....ndio tumefika huku.....najuta.....
 
dah....nisamehe shemeji....ina maana siku ile tulivyokutana ghafla ukaniambia nikanywe soda.....ndio tumefika huku.....najuta.....

mh..ilikuwa wapi hiyo?..na lini?...ufafanuzi plz..
 
mh..ilikuwa wapi hiyo?..na lini?...ufafanuzi plz..

bebii...ni siku ile tu huyu shemeji alikutana na mimi......ila huyu shemeji kimeo....sitaki uwe rafiki yake....

 
bebii...ni siku ile tu huyu shemeji alikutana na mimi......ila huyu shemeji kimeo....sitaki uwe rafiki yake
....

alikufanya nn tena?...maana kututenganisha mabest nayo kazi..ingawa una haki bebii....au alitamka shemeji tuzime taa?..kama ni hivyo kweli kikulacho kiko....
 
Ati nini?wanatumalizia tissue za kaunta!embu jipangeni nyie visista duu uchwara mnakurupuka tu kutolewa out hujui wat wil happn latter.
 
kweli kabisa huwa wanaenda kutawazia kipindi cha nyuma kulikuwa hakuna tishu soo walikuwa wanakausha tu au wanatembea na toilet paper aka TP..

ndetichia like this

ni kweli, na uelewa pia, zamani zile kopo jeusiiiiiiii ndoo ina maji robo mdada hana hiyana anadumbukiza kopo anajichotea maji yake na kutawadha...... Loh!!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…