Padri Mcharo
JF-Expert Member
- Feb 28, 2015
- 1,899
- 3,688
You are such a lazy thinker and your long comment attracts a long 'answer shit' and if I give you one it is going to be long indeed. The one too long like bullshit! Watch out!
You have such a small brain. I wonder how you managed to live with such a filthy matter in your head. For you being alive on such a brain it confirms to me that miracles exist. If your brain was fitted to the mosquito, it wouldn’t have lived an hour because that brain would not be able to function even to such a small creature…
HahahahahHata hueleweki unaomba msamaha au unaniomba hela...
Hebu nenda katawaze kwanza, kisha uje uongee kwa vituo..
Hahaahha, watengeneze mitungi ya kioo siyo?...we jamaa una hatari unafikiri bia hiyo, hiyo gas imejazwa kwa mgandamizo mkubwa mno ndani ya hiyo cylinder, kama mnataka mtungi wa kioo basi 15kg itakaa kwenye mtungi mkubwa mno kama tenki la mafuta. BTW, wasambazaji wa gesi karibia wote sku hizi wanatembea na mzani, soma uzito wa mtungi ukiwa empty palee juu, pata uzito wa mtungi ukiwa umejaa then unatoa uzito wa chupa empty unapata uzito halisi.Hakuna kulemba, ngoja nende kwenye point directly.
Ni wangapi kati yetu tunaofaamu kiasi cha pesa tunacholipa kwa ajili ya manunuzi ya gase ya matumizi ya nyumbani kinaendana na ujazo halisi haliyakuwa baadhi yetu mara nyingi tumekuwa tu wapiga simu ili tuletewe ujazo wa gase unaofanana na mtungi ulioisha?.
Aidha ni wangapi wenye Mizani kwa ajili ya kupima mtungi wenye ujazo lengwa mara tu uletewapo na mletaji (mfanya biashara) huyo?.
Maoni yangu, ni vema sasa nyie wafanya biashara mtuletee mitungi ionekanayo hadi ndani kama chupa ya soda au konyagi ili kutuondolea wasisi wa kuuziwa Mbuzi kwenye gunia(kuchakachuliwa).
Ahsanten.
Vile viberiti vya gas mbona kule ndani unaona kabisa kama maji vile...Hivi wewe unawaeza kuona gesi? Nadhani hukusoma kemia, na kama ulisoma utagundua kuwa gesi nyingi zina 'the following physical properties'... They are color less, test less and in most cases odor less...
Niltaka kusema umeniwahi mkuuHivi mnaombeza mleta mada mna akili kweli?
Kwani viberiti vya gesi huwa hamuvioni? Kwamba ndani unaiona kabisa gesi ilipoishia imo kama maji?
Hiyo mitungi LAKE GAS wanayo,Hakuna kulemba, ngoja nende kwenye point directly.
Ni wangapi kati yetu tunaofaamu kiasi cha pesa tunacholipa kwa ajili ya manunuzi ya gase ya matumizi ya nyumbani kinaendana na ujazo halisi haliyakuwa baadhi yetu mara nyingi tumekuwa tu wapiga simu ili tuletewe ujazo wa gase unaofanana na mtungi ulioisha?.
Aidha ni wangapi wenye Mizani kwa ajili ya kupima mtungi wenye ujazo lengwa mara tu uletewapo na mletaji (mfanya biashara) huyo?.
Maoni yangu, ni vema sasa nyie wafanya biashara mtuletee mitungi ionekanayo hadi ndani kama chupa ya soda au konyagi ili kutuondolea wasisi wa kuuziwa Mbuzi kwenye gunia(kuchakachuliwa).
Ahsanten.
point!Dah.. msiwe mnapinga tu bila kuwa na ufaham jaman, aliyekwambia kitu colorless hakionekani, kwani maji yana rangi gani, mbona tunayaona mkuu, aliyekwambia gas za kupikia ni odorless nani, mbona ukiwasha tu jiko kuna harufu fulani, au ukasahau kufunga unaskia harufu yake
Nadhan jamaa kafikiri vizur nje ya box, si jambo zuri kumkebehi mtu.
Hv vile vibiriti vya gesi vile mbona huwa tunaona kabisa kilichomo ndani, tuanzie hapo.
Ww hujawah tumia kiberit cha gesi mkuuHivi wewe unawaeza kuona gesi? Nadhani hukusoma kemia, na kama ulisoma utagundua kuwa gesi nyingi zina 'the following physical properties'... They are color less, test less and in most cases odor less...
Kuna gas zenye rangi ndugu.Hivi wewe unawaeza kuona gesi? Nadhani hukusoma kemia, na kama ulisoma utagundua kuwa gesi nyingi zina 'the following physical properties'... They are color less, test less and in most cases odor less...