YoungD
JF-Expert Member
- Dec 27, 2016
- 1,275
- 1,332
ningekuwa huyo jamaa, hivi sasa ningekuwa ndani ya ubalozi wa nchi nyingine kama julian assange alivofanya. Wasiojulikana hawawezi kumuacha hai huyu.Mmemponza huyo jamaa wa selfie kitakachomkuta ajiandae psychologically