Kwa kwel ni amsha kabisa bi msumiGirlfriend ake baba umemuonapo?
Weee hatari 😂 mpaka tumemsahau kabisa bi kikalaKwa kwel ni amsha kabisa bi msumi
Mzee Jonijo nae anatembea n mtoto ake Mwadawa ni fire😂🤣😂🤣
Hii hapa episode 1 season 2👇👇itume hapa la sivyo we muongo
Hata fb ipoKwaza akitaka kuangalia aingie tiktok wana wekaga
haiwezi kuwa GB ni kb au mb 10 tu
HATUTAKIKwa ambao hawakufatilia season 1 nashauri mdownload Azam tv Max mtaikuta humo.
Umeniuliza mimi?Hivi hata bila kuconect na kingamuzi inakubali dear?
Umeniuliza mimi?
Hii tamthilia Ina akisi maisha na tabia zetu kwa kiasi kikubwa. Tabia ya utegemezi na kutotaka kufanya kazi, kukosa shukran kwa ndugu. Kongole mtunzijema