wanafananisha umaarufu wa nje na wa ndani,hivi kweli Diamond wa kumfananisha na Davido kwa umaarufu?
skelewu inapigwa africa nzima,hata kwenye clubs kibao inapigwa,mi nakuambia hata kungekuwepo tuzo za East Africa Diamond kuchukua msanii bora atatoa jasho
Mjini kote skelewu,ngololo mwisho Chalinze.
tusubiri BET
dah! binamu unaniangusha kama amekosa mtv atapata kweli bet kuwa serious bhana tuongee ukweli ushabiki tuuweke kando kidogo!!!!!
Hyo BET wasimalize hata hzo nauli zao,kule hapati chochote labda waende kupiga picha watuwekee kwenye instagram kuwa ukumbini walikuwepo pamoja na kina king James,Wayne,Drake,Nick Minaj.
miracles do happen SOMETIMES
Mjini kote skelewu,ngololo mwisho Chalinze.
Mjini kote skelewu,ngololo mwisho Chalinze.
Tuzo saba za kili zilimpa wazimu
haiwezi kutokea binamu sio mbaya tusubiri kuona maajabu!!!
Mhh jaman kibiongo bongo noma mtu akiwa mchafu ooh mvuta bangi na unga na akiwa msafi ndo taabu ooh Mtoto c rizki sasa waja wanatakaniii
kukaa kwangu tokea mwaka 2010 hapa jf kumbe huyu anayejiitaga heaven on desert kumbe ni wema sepetu bwana!
Inashangaza jinsi watanzania wengi wanavyofurahia kushindwa kwa Diamond,shame on u.Nini sababu ya chuki zote hizi,wivu ama?
una Hakika watakua wanamaliza nauli????
pesa kazi yake matumizi...
unawashangaa Tanzania badala ya kuwashangaa waingereza waliosherehekea kifo cha Margaret Thatcher
jielewe wewe huyo ng'ombe ulo mtaja anavionjo gani wewe unavyodhani studio zilezile kisaka sijui buhemba record minyimbo yake yote mitishamba si bora hata ungesema mziki wa dogo jack wa jagwa music ama seven surviver wa kina marehemu juma mpogo kidogo ninge kwelewa mziki wa asili aliimba baba j tu Sadat kono la shaba,