warumi
R I P
- May 6, 2013
- 16,218
- 18,440
wanafananisha umaarufu wa nje na wa ndani,hivi kweli Diamond wa kumfananisha na Davido kwa umaarufu?
skelewu inapigwa africa nzima,hata kwenye clubs kibao inapigwa,mi nakuambia hata kungekuwepo tuzo za East Africa Diamond kuchukua msanii bora atatoa jasho
Tuzo saba za kili zilimpa wazimu