Napenda style ya Davido hajipodoii lakin anawikajeee
....
kwenye tuzo za MTV BASE .......
Hizi ni updates za matkio mbali mbali kuhusu Diamond masaa ya mwishon mwisho kabla ya Tuzo hapo kesho..Diamond pia kaongezwa kwenye orodha ya watakao tumbiza, baada ya Trey Songz
Du huyu kijana kasahau kabisa kama kuna kitu ramadhani mbele kelele nyingi kwenye award tu siku wakifa zote wataziacha ndani nyie WATOTO wa kiislam jitambueni hii dunia
Ni hilo tu mkuu? Au tayaree!!
We ndio mshamba mkuu,iyo ni old skool ish!
Kila la kheri diamond hope utafanya viziri tu
All the best Diamond.....lakini hiyo combination ya hao mameneja ni kiboko.....nasubiri sana outcome ya hii timu yenye Babu Tale na Mkubwa Fella......
Hizo tuzo ndo zinatolewa leo?
Atafanya vuzuri kwa kipi?Labda kucheza sio kuimba anawekewa cd na bado sautiii mbayaaaa pumzi hana
Yaani huyu dogo siku akiimba live ndio nitajua kaiva ila kwa sasa bado kabisaa
E
Huyo desert on earth nishobo tu! Mx carter tunamjua ndo mpigapicha mjini!
Ni mazoezi tu akiamua anaweza sana
Hiyo show inaanza saa ngapi kwa huku kwetu?.all the best diamond'
Sent from my iPhone using JamiiForums app