Ndo tatizo la copy and paste... What is next in south Africa?.. Mleta maada
swali lako lingeweza kua maelezo kama ungetoa kiulizo
Mawazo potofu"!!!!"!"!""
Davido anavaa kiume sio kisharobaro kama domo wetu sema ukwelii usafi umepitilizaaa hata sielewiiii
Hv huyu dogo akichukuwa bet mtaani patakalika kweli
Bora asiishike
Visket na viskinty mpaka phumbu zinaonekana aache......anatiaga aibu wakati mwingine na vinguo vyake.
Achana nao mama Dinazarde ,kinacho matter am his best photographer and mhusika anaappreciate kile nafanyaHata kama ni shobo lakini ni mpiga picha wake pia anatoa picha nzurii tu
So atajwe kila mtu??,dancers wote wapo na wasaidiz wengine ,mbona hujauliza why hawajatajwa
kazi zangu ni za nyuma ya pazia..si lazima nitajwe tajwe
View attachment 163305E
Huyo desert on earth nishobo tu! Mx carter tunamjua ndo mpigapicha mjini!
Ha ha ah hiyo zawad inapita pitaj in jf?Hongera Kifesi mie naomba uniletee zawadi za huko SA