Inaonyesha unayachukia sana majukumu yako ya kuwa mamapole mamake Diamond...umeandika kwa hisia kweli dah!..kweli uchungu wa mwana aujuae mzaz...KIBA NDO HIVYO TENA HASHIKIKI MAMANGU hakuna la kuufanya maana waswahilki husemaaa....SIMBA MWENDA POLEE...??
+Hii project ya neyo na coke studio inaonekana mashabiki wa Kiba hawajaielewa vizuri, hii ni kawaida ya coke studio kumleta msanii mmoja mkubwa katika kila season kufanya wimbo mmoja na wasanii wengine wa Africa waliopo coke studio na hii ilianza mwaka jana ambapo Wyclif jean alitoa wimbo na kina Shaa!
+na wimbo ukitoka huwa ni mali ya coke company hautapigwa ktk TV yoyote wala kuingia kwenye chart yoyote zaidi ya kuwekwa kwenye channel ya coke YouTube
+hapo ndo kama Kiba mjanja atumie fulsa hii kuomba collabo yake na neyo sio analala lala mpaka abustiwe na mashabiki!
mkuu inamaana hujui kilichotokea au
+Hii project ya neyo na coke studio inaonekana mashabiki wa Kiba hawajaielewa vizuri, hii ni kawaida ya coke studio kumleta msanii mmoja mkubwa katika kila season kufanya wimbo mmoja na wasanii wengine wa Africa waliopo coke studio na hii ilianza mwaka jana ambapo Wyclif jean alitoa wimbo na kina Shaa!
+na wimbo ukitoka huwa ni mali ya coke company hautapigwa ktk TV yoyote wala kuingia kwenye chart yoyote zaidi ya kuwekwa kwenye channel ya coke YouTube
+hapo ndo kama Kiba mjanja atumie fulsa hii kuomba collabo yake na neyo sio analala lala mpaka abustiwe na mashabiki!
ngoja niongeze tena data mana hawa jamaa wanapend Sana sifaHahahaha wamekaaaaaaaaaaaaa
ngoja niongeze tena data mana hawa jamaa wanapend Sana sifa
mkuu ingia hiyo blog ya kenya hapo juu halafu uendelee kubisha soma hiyo habariWapi mkuu, maelezo yangu umeyaelewa lakini me sijazungumzia manager wa Diamond nimezungumzia kuhusu ile wanayodai collabo ya Kiba ft neyo
sasa ni uongo hiyo blog ni ya kenya sio bongoDiamond yupo bongo saa 7 nimekutana nae baby shop uko kaenda meneja
Diamond yupo bongo saa 7 nimekutana nae baby shop uko kaenda meneja
sifa zimekwisha toka asubuhi hajapost kituHahahaha leo insta pamekuwa pachungu.
sasa ni uongo hiyo blog ni ya kenya sio bongo