MTV waandaa collabo ya Ne-Yo na Diamond Platnumz, this is epic!

Me roho ilikuwa hainuumi nilisikitishwa ni MTU kuja humu na kutangaza habari za kiuzushi et neyo kamtimua manager salaam
Ndo mumwache kiba hizo habari za kutimuliwa zimeenea social media nyingi. Na huyo sijui salamu si ndo alikua ana mu diss kiba.
 
Leo aibu imewafika, hadi neyo kaelewa mziki wa kiba mmebaki ninyi teamDNA

Aibu ya nini sasa nyie ndo mnatafuta biffu..ambalo halina tija..we jamaa unalazimisha watu waanze kumtukana kiba..
 
Hajawahi mdiss kiba Ali diss management ya rockstar kuuza nyimbo za Icon wa taifa

Alimdiss labda ulipitiwa alimwambia yeye kazi yake kufanya show sebuleni na tunzo za kill na tuzozawatu alipendelewa na aliandika kwenye Instagram yake na leo watu wameiweka kumkbusha
 
Ndio wanaingiza vocal kazi ya coca cola sio ya,kiba haaaaah hajamtaja kibakuli daaah
kwa hiyo umenzisha thread ili ulipize ila hiyo habari yako hata mm naweza nikatunga kama hivi "MSANII NGULI WA MAREKANI CHRISBROWN AMETHIBITISHA ATAFANYA COLLABO NA TIMBULO ,MATONYA , RICHMAVOKO NA RUBY" hapo vipi leta source acha blah blah zako wenzako wanalia huko insta we unabisha
 

Haaaaah ni pm number yko nikutumie clip kabisa
 
Hajawahi mdiss kiba Ali diss management ya rockstar kuuza nyimbo za Icon wa taifa
mlivyomdhalilisha jokate sema kiba mstaarabu hajapost kwenye a/c yake ile picha na salaam sk
 
Alimdiss labda ulipitiwa alimwambia yeye kazi yake kufanya show sebuleni na tunzo za kill na tuzozawatu alipendelewa na aliandika kwenye Instagram yake na leo watu wameiweka kumkbusha
mkuuu anaupinga ukweli huyo tena huyo salaam ashukuru kiba kamsaidia mana angeaibika vibaya sana
 
ile picha ni mapaparazi wa kenya ndo wamepiga ila yy alikuwa hajui ilikuwa anatumia simu yake salaan

Haaah mapaparazi Kenya miaka mia selfie amazing watoto wa kiume hawanaga Tabia za kunununiana
 
Alimdiss labda ulipitiwa alimwambia yeye kazi yake kufanya show sebuleni na tunzo za kill na tuzozawatu alipendelewa na aliandika kwenye Instagram yake na leo watu wameiweka kumkbusha

Wanaume hawanaga tabia za kununiana iyo ilikuwa past
 
Wanaume hawanaga tabia za kununiana iyo ilikuwa past

Ulikua unakataa nini sasa unakubali nini😃😃😃...ndio maana binadamu wanambiwa waweke akiba ya maneno ona leo alivyoumbuka..kiba kweli mstaarabu amemstiri
 
Ulikua unakataa nini sasa unakubali nini😃😃😃...ndio maana binadamu wanambiwa waweke akiba ya maneno ona leo alivyoumbuka..kiba kweli mstaarabu amemstiri

Sema n mzinzi kwa kutia mimba wadada za watu n kukimbia hajambo 🙌🙌🙌🙌🙌
 
Leo aibu imewafika, hadi neyo kaelewa mziki wa kiba mmebaki ninyi teamDNA

Nyie huyu Neyo huyuuuu.....sio mtu wa kawaida. Au ni jini nini???!
Yaani watu waliperform nae jukwaa moja na ulimwengu mzima ukishuhudia ila hawakumuona eti mpaka ameletwa na cocacola fm alongside le King himself ndo anaonekana mweeeeh!!!
Alafu hata kumfuata ikawa shida, si ikabidi tuekti kwenda kumsalimia mtz mwenzetu!!! Hulalalalaaaaaaaa

Btw, nimewamiss bhana kwaivo nikaona nije kuwasabahi. Haya napita mie
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…