MTV waandaa collabo ya Ne-Yo na Diamond Platnumz, this is epic!

Hahah kwani kuchukua tuzo ya grammy ndo kuwa na impact... Kwa muda wako kaangalie chriss brown amewahi kuchukua grammy lini halafu jiulize ana impact au hana
so can you tell,impact ya msanii kw30Š9ye collabo inapimwa na ni0Š9i..
 
Jamani hebu tusibishane kwa vitu vyenye faida kwa music industry yetu. Anaejua muda wa show za MTV kwa masaa ya EA anisaidie
 
Neyo mbona amechoka mwenyewe? Collabo ya ukweli afanye na Usher

taratibuuu, unadhani wanamziki wa US wale wakubwa wanagusika kirahisi rahisi hivyo, he need to penetrate little by little, i. no time unashangaa collabe na Jzz, anything is possible ukizingatia
 
Unaposema hana impact amerika unamaanisha nini... Hebu pitia chati za billboard mwaka jana na mwaka huu ndo uje uongee utumbo kama huu tena

Kuna watu hawajielewi wengi wanakurukupuka
 
Mention any big celeb in US that doesn't make it in SA??

You are clueless definitely ... even The Great Michael Jackson had been in S.A... Chriss brown was in S.A this year so who else is greater...

but u have to know that it is Nigeria not S.A

Sio tu kuimba Ne-yo anajua sana Kuandika... Kaandika ngoma nyingi sana zilizofanya na zinazofanya vizuri



Do y'all understand the meaning of FUNKY DUCKING??? Mana hamna sioni alieelewa hata mmoja, si vibaya kuuliza, the black and blue thing he is riding miguuni kwake badala ya kutembea? thats funky ducking boys! Now next time muulize kama hamuelewi lugha. 🙏
 

Wewe acha kufanya watu wajinga hapa.. Ulichokuwa unamaanisha ni tofauti na unachokisema hapa.. Kulitafsiri neno moja la kiingereza kwenye sentensi moja haiwezi kuleta maana bila kuitafsiri maana ya sentensi nzima..

BTW hiyo funky ducking umeiona wapi, maana sie tunaona picha tu hapa na hakuna video..
 

lol, umeamua kuwa mpumbavu wa kiwango cha juu, alieandika sentensi ni mimi na alietoa ufafanuzi wa sentensi yangu ni mimi mwenyewe, kama unajua zaidi ya mimi muandikaji sawa sina time ya kukubishia just turn To the left ...endelea na shughuli zako...

btw, hata picha huoni ameweka nini mbele ya miguu yake?? Fool! Such a douchebag ppffhhh!!!
 


Kwahiyo kuwa mbele yake ndio inamaanisha alitembea nacho??

Wewe utakuwa mjinga namba moja duniani.. sasa tafuta tu video uone hicho unachosema kiko mbele yake alitembea nacho nani..
 
nakumbusha tuu jamen kwamba ne-yo kwasasa hana impact kubwa America..dizain kama kazima iv ko tusitegemee mikikimikiki yenye uzito kwa collabo hii..otherwise tujiandae kuyapokea..?!

Mkuu madai yako yanatokana na nini?
 
Impact ya msanii kwenye collabo inatokana na yy Kuwa hit,kwa Ne-yo hana mzigo sokoni unaomfanya apate airtym on tvshows even albums sokoni hakuna::embu waangalie wasanii kama 50cent wanavyoangaika kurudi kwenye game baada ya ukimya wa muda mrefu
 
Kwahiyo kuwa mbele yake ndio inamaanisha alitembea nacho??

Wewe utakuwa mjinga namba moja duniani.. sasa tafuta tu video uone hicho unachosema kiko mbele yake alitembea nacho nani..



Get yo life woman! Pffh!
 
Kwahiyo kuwa mbele yake ndio inamaanisha alitembea nacho??

Wewe utakuwa mjinga namba moja duniani.. sasa tafuta tu video uone hicho unachosema kiko mbele yake alitembea nacho nani..



Ungetukania hapa badala ya pembeni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…