MTV waandaa collabo ya Ne-Yo na Diamond Platnumz, this is epic!

MTV waandaa collabo ya Ne-Yo na Diamond Platnumz, this is epic!

part 1
 

Attachments

  • 1439914056683.jpg
    1439914056683.jpg
    76 KB · Views: 184
Mondy naye aliwahi kwenda Kenya kwenye coke studio, je alifanya collabo gan na msanii gan mkubwa wa America?

+Bora wewe umenielewa kua hii collabo sio Kiba ft neyo.

+Maana kwa hilo swali lako unaonekana umeelewa vzr.

+jibu ni kwamba Mondi hakufanya ile collabo na Wyclif jean, alimuachia Shaa, ikumbukwe kua katika hizo collabo kila nchi huwakilshwa na msanii mmoja
 
+Hii project ya neyo na coke studio inaonekana mashabiki wa Kiba hawajaielewa vizuri, hii ni kawaida ya coke studio kumleta msanii mmoja mkubwa katika kila season kufanya wimbo mmoja na wasanii wengine wa Africa waliopo coke studio na hii ilianza mwaka jana ambapo Wyclif jean alitoa wimbo na kina Shaa!

+na wimbo ukitoka huwa ni mali ya coke company hautapigwa ktk TV yoyote wala kuingia kwenye chart yoyote zaidi ya kuwekwa kwenye channel ya coke YouTube

+hapo ndo kama Kiba mjanja atumie fulsa hii kuomba collabo yake na neyo sio analala lala mpaka abustiwe na mashabiki!

We pwilo soma hapo..uelewe uache kusumbua
 
Last edited by a moderator:
Aiseee we Kilaza waonyeshe picha ya diamond mbona na meneja wameonyesha acha uboya tumia akili we sasa blog c wanataka wauze story ya Mr icon au ujui we kuingia ushawaingizia ela

huyo meneja wako salaam si ndo alisema menejiment ya kiba inaiba nyimbo zako hujiulizi kwa nn wamepiga picha pamoja we huoni ni ajabu hiyo???
 
huyo meneja wako salaam si ndo alisema menejiment ya kiba inaiba nyimbo zako hujiulizi kwa nn wamepiga picha pamoja we huoni ni ajabu hiyo???

Kumbe alisema menejiment sio kiba
 
We bwana tupo bize na lowassa tunaleta ukombozi haya mambo ya kibakul na domo achana nayo...kwanza

Cc nifah cute b atoto Kendrick

lowasa kashapita kelele za nn we ngoja mda ufike tupige kura ila leo kazi mnayo jiteteeni basi kwa nn kapiga picha na kiba huyu boya wenu
 
Last edited by a moderator:
We bwana tupo bize na lowassa tunaleta ukombozi haya mambo ya kibakul na domo achana nayo...kwanza

Cc nifah cute b atoto Kendrick

Bwana semeji si unajua mie mpinzani wako kila mahali isipokuwa sehemu moja tu!!! Mie nishazeeka usiniite tena huku.
 
Last edited by a moderator:
lowasa kashapita kelele za nn we ngoja mda ufike tupige kura ila leo kazi mnayo jiteteeni basi kwa nn kapiga picha na kiba huyu boya wenu

audio wakati maandishi nimekuwekea hapo soma picha huamini kilichotokea leo ww subiri tuwanyooshe nyinyi

We jamaa king'ang'aniz sana duh..
 
Bwana semeji si unajua mie mpinzani wako kila mahali isipokuwa sehemu moja tu!!! Mie nishazeeka usiniite tena huku.

umepotea kama mia tano mpya nakusalimia tuu ndugu
 
Back
Top Bottom