Mtwa Abdallah Mkwawa

Mtwa Abdallah Mkwawa

Kinachokera ni watu kupinga facts Kwa sababu haiwapendezi..

Wenzetu wazungu hata kama ukweli hauwapendezi huwezi ona wanapinga waziwazi kama Sisi huku
George W Bush aliulizwa familia yenu ilikuwa inamiliki watumwa zamani..
Hakukataa hiyo history kabisa...

Sisi mtu anaona kabisa wajukuu wa Mkwawa wanaitwa Ashura na Haji na bado anapinga ukweli anauona Kwa macho
wazungu gani mbona hawasemi ukweli kuhusu historia ya afrika
 
Mkuu umeongea ukweli mtupu kumlink Mkwawa na Uislam ni matusi kwa jamii ya Kihehe na hilo jambo sio kweli hata kwenye matambiko ya kimila huwezi kusikia habari sijui ya Abdala huu ni Wuudesi va kwivala nye vayawe
Wewe ni mhehe pyua
 
Back
Top Bottom