Mtwara: Askari Polisi mmoja kati watuhumiwa wa mauaji ya mfanyabiashara alikutwa mahabusu akiwa amejinyonga tarehe 22 Jan 2022

Kina zombe ilikuwa awamu ya ngapi vile?
 
Wameamua kumuondoa ili kupoteza ushahidi wakubwa wao wasitajwe
Ukisikia umafia ndo huu. Unakata mnyororo wa ushahidi kuhakikisha hakuna taarifa zitakazo kuhususha na hicho unachotuhumiwa. Lakini ya Mungu mengi, mahabusu kujinyongea chumba cha mahabusu!
 
Mhh,ila bongo[emoji119]anyway,kila aliyeshusika roho ya mauti imvae!mmoja baada ya mwingine hamtoboi shenz kabisa!
 
Mbona wewe hujamuua mkeo au raia mwingine?
 
Vuta picha askari ananyongwa na wenzie mpaka anakata moto...aisee ni picha la kutisha.
 
Yani kweli damu ya mtu inakufuata popote uendapo.....yani wamepigwa ganzi,,akili zimechanganyikiwa....basi hata wangesema amejinyonga kwa suruali lake huku amekutwa na boksa tu....sasa dekio !!..yani MOPA !!!!

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
 
Kikubwa Sasa tuelewe watu wanavosema mifumo imefeli wanamanisha na wanataarifa zakweli

Nadhani jeshi lapolisi walidhani wanaongea na wamakonde hawakujua taarifa hiyo inatufikia watanzania nakama tofauti na Hilo Basi jeshi jitakafarini wajitafakari haraka Zama zakutoa taarifa zikabakia Radio Tanzania daresalaaam sikuhizi hazipo
 
Inasikitisha sana nimemsikia mzee wake Leo anaomba uchunguzi ufanyike maana haelew tu kama mwanawe kajinyonga
 
Inasikitisha sana nimemsikia mzee wake Leo anaomba uchunguzi ufanyike maana haelew tu kama mwanawe kajinyonga
Kauli nilizosikia kutoka kwa mzee wake
~kajinyonga na kamba mara dekio
~yeye kasema wanamsumbua tu ila katumwa na wakubwa
~Shingoni kuna michubuko
~Hawajaonyesha mazingira aliyojinyongea
 
Kwani kila mmoja aliwekwa kwenye selo yake? Kuna kitu kinaendelea polisi huko, maana kila kitu ni wao
 
Hilo dekio aliwekewa mahabusu ili awe anadeki?
 
Kwa hiyo walikuwa jumla ya polisi nane(8) marehemu inclusive !!
 
Tambala la deki liue binadamu?? Happ tuanze kesi mpya tena,kuna watu watakutwa na sakata la mauaji ya watu wawili moja haijaisha ameua mwingine
 
Mauaji yametamalaki nchi nzima, kila taarifa ya habari siku hizi kuna mauaji... enzi za jpm watu walidai mauaji na watu 'kutupwa' baharini... sasa hivi naona wanaharakati kimyaaaa....
 
Polisi wetu wana akili ngapi ... ndo maana nasikiaga wengi division Ooooo "" hawakuona drsa.....ivi kweli tambala la deki? Jamani? Liue kamanda mkurya au?? Tena muuaji???? ....jipya au la nguo nzee!

Nyie chezeni tu...nikikamata nchi napiga wote wote chini...na hamnifanyi kitu....km rais.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…