Proved
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 32,639
- 42,908
Watakaa rumande sana tu....watavuna walichokipanda.Wameisha kifala sana
Watakaa sana kwenye majengo ya serikali
Ova
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watakaa rumande sana tu....watavuna walichokipanda.Wameisha kifala sana
Watakaa sana kwenye majengo ya serikali
Ova
Njaa ya polisi inaondoa uhai wa kijana wa watu. Hivi hizo mil 33 wakishagawana zinamaliza dhiki zao maisha? Hawa ndio wale failures aliosema Simbachawene wanafaa kushika bunduki eti kulinda benki😭😭😭. Uwezo mdogo wa kupambanua mambo kiasi hiki ni dhihaka kwa walipa kodi.Maofisa 7 wa Jeshi la Polisi mkoani Mtwara wanaotuhumiwa kufanya mauaji ya mfanyabiashara wa madini, Musa Hamis (25), wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Mtwara kwa ajili ya kesi yao kutajwa.
Waliofikishwa Mahakamani ni:
1. Mrakibu wa Polisi Gilbert Kalanje -Mkuu wa Upelelezi wa wilaya ya Mtwara,
2. Mrakibu Msaidizi wa Polisi Charles Onyango - Mkuu wa Kituo cha Polisi Mtwara,
3. Mrakibu wa Polisi Msaidizi Nicholaus Kisinza - Mkuu wa Kikosi cha Intelejensia ya Jinai mkoa wa Mtwara,
4. Mkaguzi wa Polisi John Msuya Mganga - Mkuu wa Zahanati ya Polisi Mtwara,
5. Mkaguzi wa Polisi Msaidizi Marco Mbuta,
6. Mkaguzi wa Polisi Shirazi Mkupa na
7. Koplo Salimu Juma Mbalu.
Hata hivyo wanahabari wamezuiwa kuingia katika chumba cha Mahakama
Kesi hiyo imeahirishwa hadi 22/02/2022
Pia soma
- Mtwara: Maafisa Saba(7) wa Polisi wafikishwa Mahakamani kwa tuhuma za mauaji ya Kijana aliyekuwa akiwadai zaidi ya Tsh milioni 33.7
Mtwara: Askari Polisi mmoja kati watuhumiwa wa mauaji ya mfanyabiashara alikutwa mahabusu akiwa amejinyonga tarehe 22 Jan 2022
- SIMULIZI: Mauaji ya Mfanyabiashara Musa Hamis Mtwara, Machozi na Damu
Majambazi wakubwa hawa chini ya kinara wao SirroMaofisa 7 wa Jeshi la Polisi mkoani Mtwara wanaotuhumiwa kufanya mauaji ya mfanyabiashara wa madini, Musa Hamis (25), wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Mtwara kwa ajili ya kesi yao kutajwa.
Waliofikishwa Mahakamani ni:
1. Mrakibu wa Polisi Gilbert Kalanje -Mkuu wa Upelelezi wa wilaya ya Mtwara,
2. Mrakibu Msaidizi wa Polisi Charles Onyango - Mkuu wa Kituo cha Polisi Mtwara,
3. Mrakibu wa Polisi Msaidizi Nicholaus Kisinza - Mkuu wa Kikosi cha Intelejensia ya Jinai mkoa wa Mtwara,
4. Mkaguzi wa Polisi John Msuya Mganga - Mkuu wa Zahanati ya Polisi Mtwara,
5. Mkaguzi wa Polisi Msaidizi Marco Mbuta,
6. Mkaguzi wa Polisi Shirazi Mkupa na
7. Koplo Salimu Juma Mbalu.
Hata hivyo wanahabari wamezuiwa kuingia katika chumba cha Mahakama
Kesi hiyo imeahirishwa hadi 22/02/2022
Pia soma
- Mtwara: Maafisa Saba(7) wa Polisi wafikishwa Mahakamani kwa tuhuma za mauaji ya Kijana aliyekuwa akiwadai zaidi ya Tsh milioni 33.7
Mtwara: Askari Polisi mmoja kati watuhumiwa wa mauaji ya mfanyabiashara alikutwa mahabusu akiwa amejinyonga tarehe 22 Jan 2022
- SIMULIZI: Mauaji ya Mfanyabiashara Musa Hamis Mtwara, Machozi na Damu
Alafu huyo zero anafanya nn mbona sisikii akijiuzulu, akikamatwa maana huyu ni failure!!?Majambazi wakubwa hawa chini ya kinara wao Sirro
Huyu atakuwa miongoni mwa watu wasiojulikana kipindi cha Bashite na Mwendazake. Atakua anajua mengi.
Vitambi vimekaa mahali pake sio 😀😀Duh yaani majamaa wanaonekana kabisa walikuwa wana vyeo hizi tamaa hizi jamani
huyu wa kwanza upande kulia ndiye alimnyooshea bastola NAPE! sasa wananyea debe maishaMaofisa 7 wa Jeshi la Polisi mkoani Mtwara wanaotuhumiwa kufanya mauaji ya mfanyabiashara wa madini, Musa Hamis (25), wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Mtwara kwa ajili ya kesi yao kutajwa.
Waliofikishwa Mahakamani ni:
1. Mrakibu wa Polisi Gilbert Kalanje -Mkuu wa Upelelezi wa wilaya ya Mtwara,
2. Mrakibu Msaidizi wa Polisi Charles Onyango - Mkuu wa Kituo cha Polisi Mtwara,
3. Mrakibu wa Polisi Msaidizi Nicholaus Kisinza - Mkuu wa Kikosi cha Intelejensia ya Jinai mkoa wa Mtwara,
4. Mkaguzi wa Polisi John Msuya Mganga - Mkuu wa Zahanati ya Polisi Mtwara,
5. Mkaguzi wa Polisi Msaidizi Marco Mbuta,
6. Mkaguzi wa Polisi Shirazi Mkupa na
7. Koplo Salimu Juma Mbalu.
Hata hivyo wanahabari wamezuiwa kuingia katika chumba cha Mahakama
Kesi hiyo imeahirishwa hadi 22/02/2022
Pia soma
- Mtwara: Maafisa Saba(7) wa Polisi wafikishwa Mahakamani kwa tuhuma za mauaji ya Kijana aliyekuwa akiwadai zaidi ya Tsh milioni 33.7
Mtwara: Askari Polisi mmoja kati watuhumiwa wa mauaji ya mfanyabiashara alikutwa mahabusu akiwa amejinyonga tarehe 22 Jan 2022
- SIMULIZI: Mauaji ya Mfanyabiashara Musa Hamis Mtwara, Machozi na Damu
Hachomoki!
Ignorance ndio tatizo,na pesa yenyewe wanayo uwezo wa kukopa kupitia mishahara yao.Da Mnamtoa Uhai Binadamu kisa Pesa!
Alafu angalia walivyowengiMilion 37 zimewatoa utu mbwa hawa
Kwa mishahara yao tu bank KILA mmoja anavuta milioni 30 bila shida kabisaTabu kwelikweli mil 37 ukizigawa kwa watu 7 ni kama mil 5 kwa mtu mmoja..
Sasa kwa mil 5 meua watu wawili?
Maofisa 7 wa Jeshi la Polisi mkoani Mtwara wanaotuhumiwa kufanya mauaji ya mfanyabiashara wa madini, Musa Hamis (25), wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Mtwara kwa ajili ya kesi yao kutajwa.
Waliofikishwa Mahakamani ni:
1. Mrakibu wa Polisi Gilbert Kalanje -Mkuu wa Upelelezi wa wilaya ya Mtwara,
2. Mrakibu Msaidizi wa Polisi Charles Onyango - Mkuu wa Kituo cha Polisi Mtwara,
3. Mrakibu wa Polisi Msaidizi Nicholaus Kisinza - Mkuu wa Kikosi cha Intelejensia ya Jinai mkoa wa Mtwara,
4. Mkaguzi wa Polisi John Msuya Mganga - Mkuu wa Zahanati ya Polisi Mtwara,
5. Mkaguzi wa Polisi Msaidizi Marco Mbuta,
6. Mkaguzi wa Polisi Shirazi Mkupa na
7. Koplo Salimu Juma Mbalu.
Hata hivyo wanahabari wamezuiwa kuingia katika chumba cha Mahakama
Kesi hiyo imeahirishwa hadi 22/02/2022
Pia soma
- Mtwara: Maafisa Saba(7) wa Polisi wafikishwa Mahakamani kwa tuhuma za mauaji ya Kijana aliyekuwa akiwadai zaidi ya Tsh milioni 33.7
Mtwara: Askari Polisi mmoja kati watuhumiwa wa mauaji ya mfanyabiashara alikutwa mahabusu akiwa amejinyonga tarehe 22 Jan 2022
- SIMULIZI: Mauaji ya Mfanyabiashara Musa Hamis Mtwara, Machozi na Damu
Wala hasomi alama za nyakati, Siro ataondoka kwa aibu kama walivyoondoka Magufuli, Ndugai, Sabaya, Paul Makonda na washenzi wenginewe wote wa Utawala wa Fashisti MagufuliAlafu huyo zero anafanya nn mbona sisikii akijiuzulu, akikamatwa maana huyu ni failure!!?
Alitoa siriHivi yule Askari aliyekufa siku moja na dogo mfanyabiashara alikataa kushiriki tukio au?