Mtwara: Hofu ya mauaji ya kikatili Wasichana yatanda Masasi

Mtwara: Hofu ya mauaji ya kikatili Wasichana yatanda Masasi

JanguKamaJangu

JF-Expert Member
Joined
Feb 7, 2022
Posts
2,780
Reaction score
6,607
Mfululizo wa matukio ya mauaji ya kikatili hasa kwa Wasichana yaliyotokea hivi karibuni Wilayani Masasi Mkoani Mtwara kumetajwa kusababisha taharuki na hofu kwa wenyeji.

Kwa mujibu wa taarifa za vifo hivyo tangu Januari hadi Agosti mwaka huu wasichana watano na mvulana mmoja wamekutwa wameuawa na kutupwa.

Mkuu wa Wilaya ya Masasi, Claudia Kitta amesema kupitia Kamati ya Ulinzi na Usalama wanaendelea na vikao kupata utafiti.

Upande wa Mbunge wa Viti Maalum, Agnes Hokororo amesema mauaji hayo yanaacha maswali mengi na kuviasa vyombo vya usalama kuhakikisha sheria inachukuliwa kwa yeyote atakayehusika.

Source: Azam TV
 
Sasa huyo mvulana amekula vya watu vipi?

Umewahi kusikia watu wanaitwa serial killers? Ni wale wanauwa watu bila ya sababu maalumu
ndio inawezekana sio wanawake tu wanakula vya watu Kwa bongo hakuna cha serial killer

There is always a motive behind all these
 
Mfululizo wa matukio ya mauaji ya kikatili hasa kwa Wasichana yaliyotokea hivi karibuni Wilayani Masasi Mkoani Mtwara kumetajwa kusababisha taharuki na hofu kwa wenyeji.

Kwa mujibu wa taarifa za vifo hivyo tangu Januari hadi Agosti mwaka huu wasichana watano na mvulana mmoja wamekutwa wameuawa na kutupwa.

Mkuu wa Wilaya ya Masasi, Claudia Kitta amesema kupitia Kamati ya Ulinzi na Usalama wanaendelea na vikao kupata utafiti.

Upande wa Mbunge wa Viti Maalum, Agnes Hokororo amesema mauaji hayo yanaacha maswali mengi na kuviasa vyombo vya usalama kuhakikisha sheria inachukuliwa kwa yeyote atakayehusika.

Source: Azam TV
karipoti haraka polisi, kuandika tu huku haitoshi
 
Back
Top Bottom