JanguKamaJangu
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 2,780
- 6,607
Watuhumiwa wote walifikishwa Mahakamani hapo ambapo shtaka lao limepangiwa kusikilizwa Juni 16, 2022.
Watuhumiwa wote wamerudishwa rumande baada ya Mwendesha Mashtaka wa Jamhuri, Severine Mganga kuieleza Mahakama kwamba upelelezi wa shtaka hilo bado haujakamilika.
Picha: Azam TV