Kiini macho tu wanatakiwa wayanyonge kabisa haya mahayawani walikua wanashirikiana na lile jendawazimu fulani kuua watu na kuwaweka kwenye viroba na kuwatupa baharini na mtoni , hakuna nia ya dhati ya kumaliza huu upuuzi ripoti imemfikia mama yao lakini hakuna alichoelekeza , ngonjera tu , kila mtu anaogopa.SHAME