Mtwara: Mapambano ya Polisi na Jambazi mwenye silaha; Raia ameuwawa, askari amepigwa risasi

Mtwara: Mapambano ya Polisi na Jambazi mwenye silaha; Raia ameuwawa, askari amepigwa risasi

Upolisi mgumu sana.

Ukiwa polisi maisha yako unakuwa umyaweka rehani kulinda wananchi na mali zao, lakini hao hao leo wanakuchukia na kukuona kama adui, majambazi nao wanakuchukia na kila kukicha viongozi wa chadema wanakuita mtu mbaya.

Poleni wafiwa

unawachokoza heee
 
Uaskari mgumu jamani. Usiku, mstuni, giza nene halafu mvua inanyesha jambazi linazidi kutokomea na kumwaga risasi kama kokoto!
 
Upolisi mgumu sana.

Ukiwa polisi maisha yako unakuwa umyaweka rehani kulinda wananchi na mali zao, lakini hao hao leo wanakuchukia na kukuona kama adui, majambazi nao wanakuchukia na kila kukicha viongozi wa chadema wanakuita mtu mbaya.

Poleni wafiwa

mkuu acha tu! Ndio maana baba yangu alinambia ukiwa askar ujue ww ni maiti inayotembea mda wowote unakufa.
 
Sasa wa2 tukale wap na nyie mmebana,nchi hyo kulpuana tu,haina demokras wala uungwana,hyo n hal ya kawaida 2,vip huku tulko South Africa wa2 wanakaba na bunduk na furesh no ajabu
 
Wakuu jioni hii hapa Newala(Mtwara) limetokea tukio la Jambazi mwenye silaha
Kuvamia kituo cha mafuta Kiduni na kupora fedha. Wakati anaondoka eneo la tukio
kaua Raia mmoja, hata hivyo wananchi wenye hasira walimfuatilia jambazi huyu
ambaye alishindwa kutoroka baada ya mtu mwenye pikipiki ambaye anasadikiwa
kuwa ni mwenzake kuwahi kukimbia baada ya kuona mazingira yameshakuwa magumu.

Mpaka hivi sasa bado polisi wako msituni wakimsaka jambazi huyo ambaye anaonekana
kuwa na ujuzi wa hali ya juu katika kutumia silaha, askari mmoja ameshapigwa risasi eneo la
makalio na amekimbizwa hospitali, Pia kuna tetesi kuwa askari wawili wameuwawa.


*************
RAIA KUUWAWA............ Hili ni la uhakika kwani nimeiona maiti kwa macho yangu
ASKARI KUPIGWA RISASI.. Huyu aliyejeruhiwa nimemuona kwa macho yangu akikimbizwa
hospitali pia namfahamu ni dereva wa gari za polisi.

SINA UHAKIKA NA HABARI ZA KUUWAWA KWA POLISI INGAWA ZINAZUNGUMZWA SANA NA
WATU MBALIMBALI.

TUWAOMBEE MUNGU ASKARI WETU WAPATE USHINDI KATIKA MPAMBANO HUO MGUMU UKIZINGATIA
KUWA KUNA HALI YA MVUA NA GIZA

WAKUU HAKUNA UMEME NITAREJEA BAADAE KAMA KUTAKUWA NA TAARIFA ZA UHAKIKA.

Ukitud rud na picha!
 
Upolisi mgumu sana.

Ukiwa polisi maisha yako unakuwa umyaweka rehani kulinda wananchi na mali zao, lakini hao hao leo wanakuchukia na kukuona kama adui, majambazi nao wanakuchukia na kila kukicha viongozi wa chadema wanakuita mtu mbaya.

Poleni wafiwa


Kaka ni kweli afu angalia hata mshahara mbovu ,mazingira ya kazi pia magumu .....daaa poleni wafia.RIP brother
 
Duuh kwa hiyo uneona kabisa kapigwa risasi kwenye ----..?
 
Halafu mshahara "take on hand, finish on mouth"

Yaani mpaka wakabe saana ndio wajenge na wafanye luxuries.

Then nobody cares about their welfares, vifaa, mazingira magumu ya kufanyia kazi.

Poleni sana askari na familia wahanga.
 
Upolisi mgumu sana.

Ukiwa polisi maisha yako unakuwa umyaweka rehani kulinda wananchi na mali zao, lakini hao hao leo wanakuchukia na kukuona kama adui, majambazi nao wanakuchukia na kila kukicha viongozi wa chadema wanakuita mtu mbaya.

Poleni wafiwa

Usife moyo kamanda kwa BAVICHA watakatifu dunia nzima ni wa 3 tu nao ni BABU (mzee wa gongo)
MBOWE (Mzee wakuteka nyara)
TUNDU (Mzee wa Mahakama)
 
Jambazi mmoja kapambana na kuua Askali wenye mafunzo na Silaha pamoja na Raia mmoja...? Mbaya zaidi amefanikiwa kutoroka na kuasi cha pesa alichoiba...!
Ni kweli alikuwa jambazi mmoja tu, na uwezo wake inaonekana ni wa hali ya juu katika mapambano ya Silaha why target yake iwe kwa Dereva, Askari na Mkuu wao wa Upelelezi Wilaya? All in all Bwana ametoa Bwana ametwaa mapenzi yake yatimizwe.
 
mkuu acha tu! Ndio maana baba yangu alinambia ukiwa askar ujue ww ni maiti inayotembea mda wowote unakufa.

nadhan umekosea. unaweza kukutwa na umauti popote, haoijalishi unafanya Kaz gan, muda wala SAA, upo?
 
Back
Top Bottom