Mi huwa najiuliza ni nn haswa hawa polisi hufundishwa wanapokuwa chuoni? Mambo wanayofanyaga huwezi watofautisha na majambawazi!.. hata mahita aliwai kuwa boss wa polisi!
Kama wanafundishwa vzr wale wema wanashindwaje kuwabaini polisi ambao niwahalifu?
Kama wanawaficha mapolisi ambao ni wahalifu na kuwatetea ina maana polisi wote ni wahalifu waliorasimishwa! Mfno wa matukio kama la mwangosi, lisu nk..
Kabla siro hajawasema wazazi wengine kuzaa watoto wa hovyo, angetuonyesha ubora wa watoto wake.
Huyu mzee kaxhokaa, sijui kama atachukua hatua yeyote ya maana kwenye tukio hili.