Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 57,951
- 32,619
Pitapita hapa
Nimekutana na jamaa zangu karume kijiwen
Nafika naonaa wanaambiana hahaa wewee leoo umekuja blood pressure wakoo kakuruhusu leo
MMmhnkawaza nani...
Mwingine akajibu hahaa blood pressure wangu hana shida anatumia 3g yaan yeye urudi usirudi kabisa nyumban hata hasumbuki na wewe
Nkaona mwanga kidogo
Tukaendelea na story gafla akatokea mdada mmoja mnenen mashallah jamaa mmoja anamwambia bloodpressure wakoo yule amekuja kukufwata. aisee
mmoja akasema hii tandamuu 5g kakaa kazi unayoo nkawa kimya
kiufupi n ktk kutaniana naamini ila hili jina usiite mkeoo nakushaurii...utakuja kujuta sikumoja.....
nenoo huumba kuna siku atakuwa blood pressure kweli utalia na kusaga
Nimekutana na jamaa zangu karume kijiwen
Nafika naonaa wanaambiana hahaa wewee leoo umekuja blood pressure wakoo kakuruhusu leo
MMmhnkawaza nani...
Mwingine akajibu hahaa blood pressure wangu hana shida anatumia 3g yaan yeye urudi usirudi kabisa nyumban hata hasumbuki na wewe
Nkaona mwanga kidogo
Tukaendelea na story gafla akatokea mdada mmoja mnenen mashallah jamaa mmoja anamwambia bloodpressure wakoo yule amekuja kukufwata. aisee
mmoja akasema hii tandamuu 5g kakaa kazi unayoo nkawa kimya
kiufupi n ktk kutaniana naamini ila hili jina usiite mkeoo nakushaurii...utakuja kujuta sikumoja.....
nenoo huumba kuna siku atakuwa blood pressure kweli utalia na kusaga