Muache kumzungumzia nyama pendwa

Muache kumzungumzia nyama pendwa

Sio kweli wewe umeamini vipi kama mapepo yalitolewa kupitia nguruwe.
Kitu chochote kitakachotumika kufanyia.basi achana kutumia udi maana unavuta mapepo aka majini
Udi hata kanisani wanatumia kile kidude cha kufukizia.

Yesu aliyatoa na kuyapeleka kwa nguruwe ...ukichunguza hata waganga wanayatoa sehemu kama baharini au maziwa ,mda mwingine msituni kabisa
 
Udi hata kanisani wanatumia kile kidude cha kufukizia.

Yesu aliyatoa na kuyapeleka kwa nguruwe ...ukichunguza hata waganga wanayatoa sehemu kama baharini au maziwa ,mda mwingine msituni kabisa
Kuna mada hapa nikieleza uislamu ulipotokea ni jangwani kule nguruwe hakufugika bali ngamia.sasa unanilazimisha kula ngamia wakati mimi naona nguruwe.

Sawa uwende nchi nyengine hakuna hata ng'ombe wamezoea samaki alafu wewe unalazimisha ng'ombe kisa ulipotoka na imani yako.

Mtuachie my wetu mnamsimanga sana
 
Utamu wa nyama ya nguruwe usikie tu ila ndio nyama ukifuga ukosi soko.
Nyama ya nguruwe huko kwa Putin inapendwa sana na China ukilinganisha na nyama zengine...
Leo jumatano ya majivu wapendwa tuheshimu basi, (funga siku ya jumatano ya majivu) kwaresima njema!
 
Udi hata kanisani wanatumia kile kidude cha kufukizia.

Yesu aliyatoa na kuyapeleka kwa nguruwe ...ukichunguza hata waganga wanayatoa sehemu kama baharini au maziwa ,mda mwingine msituni kabisa
Kama yanakaa katika nguruwe kwa nini waganga wasiwe wanapata kutoka kwa nguruwe ?

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom