Mualiko kwa wana JamiiForum: Tarehe 12/12/2022 tutakuwa na Mawlid ya Mtume Muhammad (S.A.W) hapa BAKIIF ISLAMIC

Mualiko kwa wana JamiiForum: Tarehe 12/12/2022 tutakuwa na Mawlid ya Mtume Muhammad (S.A.W) hapa BAKIIF ISLAMIC

BAKIIF Islamic

JF-Expert Member
Joined
Jul 11, 2021
Posts
600
Reaction score
1,843
السَّلاَمُ عَلَيْكُمْ وَرَحْمَةُ اللهِ وَبَرَكَاتُهُ

Kama mjuavyo uislamu sio dini ngumu, thamani ya Biriani, Pilau na Ubwabwa, viliwe katika mjumuiko wa kheri ambao MUNGU anauridhia, hivyo tunachukua fursa hii kuwatangazia waislamu wote wa JamiiForum kwamba Tare 12/12/2022 siku ya Jumamosi saa mbili kamili usiku tutakuwa na Mawlid ya kumuadhimisha mtukufu wa Umma, Nabii Muhammad S.a.w hapa BAKIIF ISLAMIC, Kimara-Korogwe Dar es salaam, Tanzania.

Nachukua fursa hii kukukaribisha ufike bila kukosa, tusherehekee kwa pamoja khafla hii ya Mazazi ya Mtume Muhammad s.a.w, na pia unaweza kuchangia kufanikisha shughuli hii adhwim kwa kuwakilisha mchango wako au swadaka yako hapa BAKIIF ISLAMIC. Katika siku hiyo tutapata wasaa wa kuwarehemu ndugu zetu walio tangulia mbele za haki. Hivyo usikose kujumuika nasi katika viwanja vya BAKIIF.

Wabillahi taufiq walhidayah"

BAKIIF ISLAMIC
P.O.BOX 55185
Kimara Korogwe,
KAM College Road, Kivulini Street
House no 36

Phone +255 755 351 262

WhatsApp Image 2022-05-22 at 2.32.53 AM.jpeg


Hapa chini Waeza burudika na Qasida (Annayu Watwaru)

 
Asante kwa mwaliko
Usikose ndugu. Njoo tujumuike kumtanganza huyu Mtume (s.a.w) alikuja na wito wa usawa kwa viumbe wote, na alikuwa akilingania udugu, na msamaha kwa kila mwenye kuingia kwenye Dini ya ki islaam, kisha aliweka sheria iliyo nyepesi, na kanuni za uadilifu alizo zipokea kutoka kwa Mwenyezi Mungu alie takasika, kisha waislaam wakazipokea kutoka kwa Mtume (s.a w).
 
Ni jambo jema
Karibu sana John the Baptist sisi waislamu tunakuheshimu kwasababu wewe ndie Yaḥya ibn Zakariya, kiuhalisia kabisa wewe ndiye Yahya/Yohana, mwana wa Zakaria), unayetambulika kama Yohana Mbatizaji, sisi waislamu Yohana kwetu tunamchukulia kuwa ni nabii na mjumbe wa Mungu (Allah) ambaye alitumwa kuwaongoza Watoto wa Israeli. Inaaminika na Waislamu kuwa shahidi wa neno la Mungu ambaye angetangaza kuja kwa Isa Al-Masih (Yesu Kristo). Karibu sana kwenye MAWLID
 
السَّلاَمُ عَلَيْكُمْ وَرَحْمَةُ اللهِ وَبَرَكَاتُهُ

Kama mjuavyo uislamu sio dini ngumu, thamani ya Biriani, Pilau na Ubwabwa, viliwe katika mjumuiko wa kheri ambao MUNGU anauridhia, hivyo tunachukua fursa hii kuwatangazia waislamu wote wa JamiiForum kwamba Tare 12/12/2022 siku ya Jumamosi saa mbili kamili usiku tutakuwa na Mawlid ya kumuadhimisha mtukufu wa Umma, Nabii Muhammad S.a.w hapa BAKIIF ISLAMIC, Kimara-Korogwe Dar es salaam, Tanzania.

Nachukua fursa hii kukukaribisha ufike bila kukosa, tusherehekee kwa pamoja khafla hii ya Mazazi ya Mtume Muhammad s.a.w, na pia unaweza kuchangia kufanikisha shughuli hii adhwim kwa kuwakilisha mchango wako au swadaka yako hapa BAKIIF ISLAMIC. Katika siku hiyo tutapata wasaa wa kuwarehemu ndugu zetu walio tangulia mbele za haki. Hivyo usikose kujumuika nasi katika viwanja vya BAKIIF.

Wabillahi taufiq walhidayah"

BAKIIF ISLAMIC
P.O.BOX 55185
Kimara Korogwe,
KAM College Road, Kivulini Street
House no 36

Phone +255 755 351 262

View attachment 2420271


Hapa chini Waeza burudika na Qasida (Annayu Watwaru)

View attachment 2420274
Insh'Allah.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uisillamu ni dini ya upendo siku zote haijawi kumbagua mtu
Mtume alithibitisha wazi kupinga suala la ubaguzi, katika uislamu hakuna ubaguzi. Uislamu unatanguliza kwanza ubinaadamu kabla ya dini. Leo hiii watu wanabaguana,wanatengana na kuwanyanyapaa wengine kwa kua sio rangi,sio taifa lao,sio kabila lao,kisa umaskini wao. Imefikia hatua hata waoaji kubaguliwa tena wenye sifa na vigezo,lakini kwa kua anatokana na ukoo maskini basi hapati mke,kwa kua bint familia yake sio wasomi basi mume hakuna,kwakua kazi ya kijana sio ya mshahara mnono,na hana assets za thamani basi mke ataishia kumuita ndugu yangu katika imani. Mtume Muhammada amekemea hayo yote. Njoo tumuadhimishe.
 
Karibu sana John the Baptist sisi waislamu tunakuheshimu kwasababu wewe ndie Yaḥya ibn Zakariya, kiuhalisia kabisa wewe ndiye Yahya/Yohana, mwana wa Zakaria), unayetambulika kama Yohana Mbatizaji, sisi waislamu Yohana kwetu tunamchukulia kuwa ni nabii na mjumbe wa Mungu (Allah) ambaye alitumwa kuwaongoza Watoto wa Israeli. Inaaminika na Waislamu kuwa shahidi wa neno la Mungu ambaye angetangaza kuja kwa Isa Al-Masih (Yesu Kristo). Karibu sana kwenye MAWLID
..sijui nj wapi tulipotezana mpaka kila mmoja kujiona bora kuliko mwenzake

Mtume alithibitisha wazi kupinga suala la ubaguzi, katika uislamu hakuna ubaguzi. Uislamu unatanguliza kwanza ubinaadamu kabla ya dini. Leo hiii watu wanabaguana,wanatengana na kuwanyanyapaa wengine kwa kua sio rangi,sio taifa lao,sio kabila lao,kisa umaskini wao. Imefikia hatua hata waoaji kubaguliwa tena wenye sifa na vigezo,lakini kwa kua anatokana na ukoo maskini basi hapati mke,kwa kua bint familia yake sio wasomi basi mume hakuna,kwakua kazi ya kijana sio ya mshahara mnono,na hana assets za thamani basi mke ataishia kumuita ndugu yangu katika imani. Mtume Muhammada amekemea hayo yote. Njoo tumuadhimishe.
Hivi waislam na wakristo wanaona kipindi hiki?
 
Hivi waislam na wakristo wanaona kipindi hiki?
Allah Aliyetukuka Ametoa ruhusa kwa mwanamume wa Kiislamu kumuoa mwanamke wa Kitabu (Mkristo au Myahudi). Hata hivyo Allah Aliyetukuka hakuliacha jambo hilo bila ya kuliekea masharti. Ikiwa masharti hayo yaliyowekwa yatakuwa ni yenye kutimizwa basi kutakuwa hakuna tatizo. Hii ni kwa upande wa kuoa tu, nasio kuolewa. Ni kharamu Binti wa Kiisilamu kuolewa na Mkristo.
 
Nawakumbusha wale wenzangu tusiokubaliana na maulidi "hekma"itumike..,jazakumullaah!!
Sisi Waislamu husoma maulidi kwa sababu mbalimbali. Kati ya hizo ni kuikumbuka na kuitukuza siku aliyozaliwa mbora wa viumbe vyote, aliyetutoa vizani na kututia kwenye nuru, ni njia moja ya kutoa shukrani zetu kwa neema hiyo, katika sherehe hizo, hupatikana fursa ya kukumbushana maisha ya bwana mkubwa huyo na mafunzo yake, hupatikana fursa ya Waislamu wa madhihabi mbalimbali kushirikiana na kuziweka kando hitilafu zao, mikusanyiko hiyo huleta athari kwa wasio Waislamu ya kuupenda Uislamu, na hata kusilimu. Karibu tujumuike hapa BAKIIF
 
السَّلاَمُ عَلَيْكُمْ وَرَحْمَةُ اللهِ وَبَرَكَاتُهُ

Kama mjuavyo uislamu sio dini ngumu, thamani ya Biriani, Pilau na Ubwabwa, viliwe katika mjumuiko wa kheri ambao MUNGU anauridhia, hivyo tunachukua fursa hii kuwatangazia waislamu wote wa JamiiForum kwamba Tare 12/12/2022 siku ya Jumamosi saa mbili kamili usiku tutakuwa na Mawlid ya kumuadhimisha mtukufu wa Umma, Nabii Muhammad S.a.w hapa BAKIIF ISLAMIC, Kimara-Korogwe Dar es salaam, Tanzania.

Nachukua fursa hii kukukaribisha ufike bila kukosa, tusherehekee kwa pamoja khafla hii ya Mazazi ya Mtume Muhammad s.a.w, na pia unaweza kuchangia kufanikisha shughuli hii adhwim kwa kuwakilisha mchango wako au swadaka yako hapa BAKIIF ISLAMIC. Katika siku hiyo tutapata wasaa wa kuwarehemu ndugu zetu walio tangulia mbele za haki. Hivyo usikose kujumuika nasi katika viwanja vya BAKIIF.

Wabillahi taufiq walhidayah"

BAKIIF ISLAMIC
P.O.BOX 55185
Kimara Korogwe,
KAM College Road, Kivulini Street
House no 36

Phone +255 755 351 262

View attachment 2420271


Hapa chini Waeza burudika na Qasida (Annayu Watwaru)

View attachment 2420274
kwani tarehe alizaliwa mtume mmeijulia wapi na lini?
 
Back
Top Bottom