mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 42,209
- 51,004
Tutairudisha kwa muda wetu usitupangie
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi niliporud wakala akawa mbishi nikamwambia tizama salio tu tujue au kwenye history akajib kikuda eti mashine haina hizo option nikamwambia nipe niangalie mie mwenyeweNilihangaika na wakala hadi nikaona huyu atahisi nataka kumuibia
Mi niliangalia kwenye sim nikamwambia hela imetoka piga call centerMimi niliporud wakala akawa mbishi nikamwambia tizama salio tu tujue au kwenye history akajib kikuda eti mashine haina hizo option nikamwambia nipe niangalie mie mwenyewe
Nilichojifunza ni hiko nikiona muamala umefel nitizame salio ndio nisepe kwa wakalaMi niliangalia kwenye sim nikamwambia hela imetoka piga call center
Watanzania bana yani mnatoa wapi kisasi kikubwa hicho cha laki4 wakati nchi inapitia hali mbaya ya kiuchumi?Same scenario ilinitokea nilitoa laki nne ikagoma kutoka na kadi ikamezwa. Bahati nzuri wakanipa kadi ila pesa ilichukua kama masaa 72 kurudi
Sasa elfu 50 dollar 20 mwenyewe unaona ni hela ndeeefuuuu.Pole sana,
Mi wameniblock siwezi kulog in mwaka sasa.
Hela IMO mule wanalamba tu service charge km hawajanirehemu wachukue mazima.
50 elfu mara mwaka mzima ni ngapi?Sasa elfu 50 dollar 20 mwenyewe unaona ni hela ndeeefuuuu.
Hahaha50 elfu mara mwaka mzima ni ngapi?
Na wanaendelea kukata.
We kwanza umekula?
Nisije nikawa naongea na mtu mwenye njaa hapa
Sasa umemuacha nani alinde endapo itatoka.Jana nilifanya muamala CRDB, nikatoa pesa Kutoka kwenye account kwenda kwenye line ya simu Yani cardless. Nilipofika ATM kufanya transaction, pesa ikakatwa kwenye line lakini kwenye ATM haikutoka pesa.
Nikajaribu kuwasiliana na huduma kwa wateja wakaniambia baada ya masaa 6 pesa itarudi. Nimesubiri ndani ya masaa 6 pesa haikurudi na mpaka muda huu bado haijarudi. Naombeni ushauri Wadau niokoe jahazi.
Viongozi wako kila mwaka wanaagiza magari new model wao unafikiri wanatoa wapi?Watanzania bana yani mnatoa wapi kisasi kikubwa hicho cha laki4 wakati nchi inapitia hali mbaya ya kiuchumi?