Much respect to Mzizi Mkavu and all JF Doctors


Sukula ubarikiwe Mungu akuongezee uzao
 

call him invisible to show much respect..
 
Hongera mamii, Mungu akukuzie
Mie husema kila siku, JF ni zaidi ya mtandao wa kijamii
Hongereni ma-founder wa Jf
 
Picha!picha!picha!
 
Tatizo MziziMkavu ana jina baya but ningekushauri umwite mwanao jina lake, labda umuite kwa kidhungu 'root dry'. Hahahah
Hongera mama
 
Last edited by a moderator:
Mtoto anaitwa MziziMkavu ?
hhahahaahah Angelitaka jina Mwanae ningelimuambia ampe jina langu hili Sir Ibrahim

Hapana my ndugu!
hhahaahahh umempa jina gani?

Tatizo MziziMkavu ana jina baya but ningekushauri umwite mwanao jina lake, labda umuite kwa kidhungu 'root dry'. Hahahah
Hongera mama
MziziMkavu ni jina la Kabila la kizaramo jina langu ninaitwa Sir Ibrahim kama ni mkristo bibie angelimpa jina hili Emanueli kama ni Muislam angelipa jina langu Sir Ibrahim.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…