Utajua wewe
JF-Expert Member
- Feb 20, 2024
- 928
- 1,836
Nataka kuuliza je ni muda gani cheti cha kuzaliwa kinatoka baada ya kukiomba kutoka RITA.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ivi kweli To yeye unaweza ukanijibu hivyo ?
Am so sorry...am in love with you...ndo maana nimekutag ili uitike.Am so sorry 😓Ivi kweli To yeye unaweza ukanijibu hivyo ?
Heshima upo wapi?
Adabu upo wapi?
Utii upo wapi?
Nillipata ndani ya siku tatu mwaka juzi.@&Verification ni ndani ya siku 5 za kazi which means 1 week ila waiitangaza wenyewe RITA kuwa kulikuwa na 0( za kimfumo
Labda kazaliwa mwaka 1960 maana miaka hii unatoka hosptal na mtoto na cheti cha kuzaliwa.chezea mama Samia weweNillipata ndani ya siku tatu mwaka juzi.
Ya mwanangu.
Kwa hiyo hawa wanaoomba.Labda kazaliwa mwaka 1960 maana miaka hii unatoka hosptal na mtoto na cheti cha kuzaliwa.chezea mama Samia wewe
Hao wamejifungulia nyumbani.Kwa hiyo hawa wanaoomba
Unconditionally love 🫀Am so sorry...am in love with you...ndo maana nimekutag ili uitike.Am so sorry 😓
Hapana unaongea njee ya uhalisia ndugu,Hao wamejifungulia nyumbani.