Dumas the terrible
JF-Expert Member
- Jan 20, 2021
- 4,779
- 9,999
Kama hujasema sasa sema hiviHii sikusema😂😂😂
J KombatKama hujasema sasa sema hivi
Hela ni zangu na
Sipangiwi na yeyote..🎶
Natuliza wangu moyo🎶
Na wengine Viroboti🎶🎵
Wanataka kunifollow🎵🎵
Wivu mama wivu,wivu🎵🎶
Wivu job wivu,wivuu🎶🎶
😁😁
Mimi binafsi nilishampa michongo kadhaa ya ajira ambayo ingemlipa vizuri kulingana na fani yake (ni dereva) lakini jibu lake ni moja tu, kuwa hawezi kuajiriwa.Dah!...labda anaongea utani tu, wengine mnachukulia kweli.
Uyo awezi kuacha izo tabia,sababu amekua na UJINGA wakeMimi binafsi nilishampa michongo kadhaa ya ajira ambayo ingemlipa vizuri kulingana na fani yake (ni dereva) lakini jibu lake ni moja tu, kuwa hawezi kuajiriwa.
Kwa majivuno kabisa husema ni bora akae kijiweni kuliko kubanwa na tajiri.
Apo sasa mkuu, inshort wanazingua kinoma noma😂Sikupingi mzee Dogoli, weekend chawa kazi yake kuulizia location tu.. alaf kuna ombaomba ke zenye marejesho najiulizaga mtu huna kipato steady makundi ya upatu ya nn?
Huwezi kuamini muda huu upo kazini kuna mtu mzima kabisa na meno 32 limekaa linapigia hesabu mshahara wako ambao hata wewe mwenyewe haukutoshi.
Afrika ukiwa ni lijinga lisiloheshimu kipato chako, unapata marafiki wengi sana lakini ukiamua kuwa na nidhamu kwa kila senti yako, wanasema ni mbahili una roho mbaya. Maneno siyo mishale, sunda kibunda chako.
Wewe ni broke person ambaye hauna financial freedom na upo na circle kubwa ya watu ambao mnajitafuta .
Hivyo haya ndo madhara
-kuhisi unanyonywa
-kuhisi watu wabaya
-Hasira and mood swings
Unachobidi kuwa nacho usiishi Kwa kutegemea salary peke yake hiyo huitwa Rat race (mbio za panya)
Unaamka
Unaenda kazini
Unarudi nyumbani
Unalala
This is bullshit life you need to be more creative in life
MTU kuupigia hesabu mashahara wako ambao haufiki hata mil 10 means umezungukwa na masikini wengi (consumers) you don't need to hate them but use them in positive way .
Tunahitaji watu Sana in our life Ila jitahidi aina gani ya watu unawahitaji hii itakusaidia Sana .
Hata omba omba ana thamani
Mlevi ana thamani
Mvuta bangi Ana thamani
Kwani kupitia ulevi kuna watu wanatajirika Kwa kuuza pombe refer to Mlokozi n.k
Wewe ndo umenielewa👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾💯✅✅Watu bwana, anachokisema mleta mada kuhusu discipline ya pesa ndio principle kubwa ya kufanikiwa kiuchumi hizi propaganda na analysis za motivational speakers kuhusu financial freedom ni utopolo tu. Kuwa na nidhamu ya pesa, accumulate mtaji, invest, simamia business unatoboa.
+🐷🐷🐷🐷Tule beer
Huyo Usimjibu,achana nae anatoa wapi jeuri ya kuoa wake wawili kipato hanaHuu uzi umenifanya nicheke kwa nguvu. Nipo kweli ofisini na kuna mwamba kanitumia msg sasa hivi kuwa haelewi mazingira ya kwake nimtoe hata na elfu 20.
Kilichonifanya nicheke ni huyu mwamba ana wake wawili (kaongeza mke mwingine wiki iliyopita) na kila siku majigambo yake ni kuwa hawezi kuajiriwa ila hana kazi yeyote ya maana zaidi ya 'mission town'.