Muda muafaka kwa Serikali kuruhusu bangi

Muda muafaka kwa Serikali kuruhusu bangi

Hii bangi tunayovutishwa sasa inatosha jamani,msituongezee machungu...
 
Kitu gani kinakufanya useme huungi mkono ? Bangi ni fursa sio uongo aisee . Embu tuache imani potofu kuhusu bangi ni kitu chema mnoo kwa wanaoelewa. Tena bangi ni nzuri kuliko pombe mara mia
Kwa hiyo wewe ni mvuta bhangi?
Kwa jinsi ulivyoisifia bila kufafanua manufaa mengine ya bhangi kwa binadamu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kabla hujafikiria kwamba bangi ni fursa vaa uhalisia wa mwanao kutumia bangi....fikiria ile feeling deep down unasikia mwanao anatumia
Tatizo la kuwa na ukomo wa kufikiria ama tuseme kuwaza kwa kubweteka.

Mtoa mada sidhani kama amelenga kutetea ili iruhusiwe kuvutwa!

Matumizi ya bhangi kama ilivyo tumbaku, ina matumizi kama malighafi yenye manufaa mengine kwa binadamu na si kwa kuvutwa tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ipo fresh sana hasa ukiipika Kama mboga hutajuta ni kitu murua sana
 
Matumizi ya bhangi kama ilivyo tumbaku, ina matumizi kama malighafi yenye manufaa mengine kwa binadamu na si kwa kuvutwa tu.

Sent using Jamii Forums mobile app

Hii ndio point
Sidhani kama kwa hiyo akili yako kubwa umefikiri tutaishia kuwa wazalishaji tu,kwamba isiwepo idadi kubwa/ongezeko la watakaoitumia kwa kuvuta

Hayo mengine uliyoyaandika unaweza kutumia kufulia nguo
 
Kabla hujafikiria kwamba bangi ni fursa vaa uhalisia wa mwanao kutumia bangi....fikiria ile feeling deep down unasikia mwanao anatumia
Aaaa mshamba we kumbe ndo hoja yako hio acha woga wewe
 
Kiukweli ni muda muafaka kwa serikali kuruhusu bangi ilimwe na kuuzwa atleast kwa watu maalum wenye magonjwa yasiotibika na watu wenye mahitaji maalum.

Vilevile pia kuna soko kubwa sana nje ya nchi kwa walimaji wa bangi ambao wanaweza kuliingizia taifa kwa kulipa kodi na kutengeneza ajira kwa Watanzania wengine wengi tu.

Embu serikali itafakari kwa kina namna muafaka ya kushughulikia hili suala na kuligeuza kama fursa

Mambo yanabadilika na watu watu tunabadilika.
Haramu ni haramu tu hata kama kila mtu anaifanya na dunia kuiona ni sawa.
 
Binafsi ninaamini mmea wa bangi hauna shida. Shida iko kwenye matumizi yake. Inawezekana kabisa hatujajua namna nzuri ya matumizi yake.

Mmea huu uliumbwa na Mungu mwenyewe, na ulikwepo kabla ya dhambi haijaingia duniani. "... na tazama kila kitu kilikuwa ni chema." MWANZO 1:31. Ni tofauti na mmea kama mchongoma na miiba ambao wenyewe ulitokea baada ya dhambi kuingia duniani. MWANZO 3:18.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ooh sikujua hili kumbe miiba iliumbwa baadae
Binafsi ninaamini mmea wa bangi hauna shida. Shida iko kwenye matumizi yake. Inawezekana kabisa hatujajua namna nzuri ya matumizi yake.

Mmea huu uliumbwa na Mungu mwenyewe, na ulikwepo kabla ya dhambi haijaingia duniani. "... na tazama kila kitu kilikuwa ni chema." MWANZO 1:31. Ni tofauti na mmea kama mchongoma na miiba ambao wenyewe ulitokea baada ya dhambi kuingia duniani. MWANZO 3:18.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kabla hujafikiria kwamba bangi ni fursa vaa uhalisia wa mwanao kutumia bangi....fikiria ile feeling deep
Ni bora kutumia Bangi kuliko sigara na pombe...ingawa nayo ina madhara kama itazidi kiwango....hata waheshimiwa baadhi wanatumia....pia baadhi nchi kuna migahawa ya kuuza bangi.
 

Attachments

  • VID-20200131-WA0021.mp4
    4.8 MB
Back
Top Bottom