Muda muafaka wa nchi yetu kuwekeza kwenye teknolojia ya Drones

Muda muafaka wa nchi yetu kuwekeza kwenye teknolojia ya Drones

KISIWAGA

JF-Expert Member
Joined
Oct 22, 2015
Posts
8,022
Reaction score
16,563
Nadhani wote ni mashahidi kupitia SMO kule Ukraine wa kitu gani haya madude yanaweza kufanya kwenye uwanja wa vita.

Napendekeza jeshi letu liwekeze kwenye teknolojia hii ili kujiweka tayari,napendekeza kwa kuanzia kiwanda cha drone kijengwe Zanzibar.

Au MK254 unasemaje
 
Back
Top Bottom