IlangiKwetu
Member
- Oct 9, 2014
- 85
- 33
Heshima mbele wadau,
Naomba kujua muda mwafaka wa mama mjamzito kuanza kuhudhuria kiliniki, hasa mimba ya kwanza. Coz wa mama watoto ana wiki kumi na nne (14) hajaanza kuhudhuria.
Na anasema mtoto hajacheza kwa wiki mbili sasa, pia tatizo hili linasababishwa na kitu gani MziziMkavu watu8 msaada wenu tafadhari.
Naomba kujua muda mwafaka wa mama mjamzito kuanza kuhudhuria kiliniki, hasa mimba ya kwanza. Coz wa mama watoto ana wiki kumi na nne (14) hajaanza kuhudhuria.
Na anasema mtoto hajacheza kwa wiki mbili sasa, pia tatizo hili linasababishwa na kitu gani MziziMkavu watu8 msaada wenu tafadhari.
Last edited by a moderator: