Kijana LOGICS
Senior Member
- Dec 16, 2023
- 140
- 536
Madalali hawa jamaa Kuna muda wanataka kuvuna wasikopanda.
Ni aibu Kua n'a utitiri WA madalali wAnaume wanaosubiri hela ya mahasla mtaani.
Kila MTU apigike kupata pesa dunia ya Leo hakuna Cha mngema .
Léo ukitafuta fremu ya biashara hupati kwa sababu zmezuiliwa na madalali uchwara.
Dalali anatakiwa apate 20,000--ukizid sana 30,000 sasa unakuta dalali ana Kazan umpe hela ya mwezi MZIMA
Ni aibu Kua n'a utitiri WA madalali wAnaume wanaosubiri hela ya mahasla mtaani.
Kila MTU apigike kupata pesa dunia ya Leo hakuna Cha mngema .
Léo ukitafuta fremu ya biashara hupati kwa sababu zmezuiliwa na madalali uchwara.
Dalali anatakiwa apate 20,000--ukizid sana 30,000 sasa unakuta dalali ana Kazan umpe hela ya mwezi MZIMA