Babe, hubby, darling nitawaita wangapi jamani mmoja tu inatosha babe wangu [emoji847]Hutumii maneno mazuri kwenye nyuzi...
Hakimisha ukiqoutiwa uanze na maneno matamu kama babe,hubby, darling, kisuza roho changu, bundle mjibu post, n.k
Kama uko pm wanagawa hela ebu niambie basiMwambie babe aache unaa hivyo viunganishi tu....
Wewe naona hautaki PM ijae.
Alete uzi wa nini sasaYule fundi...anapokwama tu nikutokuleta uzi.
7800 [emoji1787][emoji1787][emoji1787] abaki nayo mwenyeweWewe upo wapi..hujaskia watu wanakula 7800?
Kwahiyo yangu uliiprint auSiku nikitumiwa pm na mdada
Nita iprint nibandike room
Daah sijawahi hata mara moja [emoji28]
Zaidi zaidi shunie nlmwomba kitabu nduuki
Daah haya maisha yana madaraja sana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Nimecheka kwa sauti sana tumeoana kijf jfNa hajakuoa bado... si degree ya sheria ya Mzumbe hii?