Dah mkuu sijawahi kabisaHata ya nanii? Umeikosa?
Hahahahaha niacheKwa hicho kicheko weye nakuona miaka mingine 3 ijayo...tuombe uhai nitakukumbusha.
Dahh nlfirurahi siku ile nlzunguka mtaa mzima kuonyesha pm yako πKwahiyo yangu uliiprint au
Dah mkuu sijawahi kabisa
Nadhani wadada wananiogopa
Eti wanasema nipo serious sana π
[emoji1787][emoji1787] Mimi nimezaliwa kucheza kwaito za wenzangu acha waolewe wengineKipindi kile nilikutakaga Bonny akakudanganya...ona sasa nongeshakuoa mimi sipendagi mchezo.
EeenhDahh nlfirurahi siku ile nlzunguka mtaa mzima kuonyesha pm yako [emoji7]
Teh ... Natania bhana π πEeenh
Dah mmoja alinambia eti haelewi naandikaga niniππππππ uko poa sana Mkuu labda hawakusomi vizuri.