Muda mwingine unaweza kudhani wanaJF wapo busy na maisha kumbe!!!

Muda mwingine unaweza kudhani wanaJF wapo busy na maisha kumbe!!!

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Nimecheka kwa sauti sana tumeoana kijf jf
Kwa hicho kicheko weye nakuona miaka mingine 3 ijayo...tuombe uhai nitakukumbusha.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uko poa sana Mkuu labda hawakusomi vizuri.
Hahongi huyo..hatoi hata ya Toyo.
 
[emoji1787][emoji1787] Mimi nimezaliwa kucheza kwaito za wenzangu acha waolewe wengine
Daaah... na endelea kuzicheza tu.

Nanavyokuwa na hisia kanisani/kwenye kufungwa ndoa utasema wewe ndiye bibi harusi.
 
Hao watu wawili uliowataja ukute pm huko mahaba moto moto. Na picha washatumiana wako stage ya WhatsApp chat now.
 
Back
Top Bottom