Muda mwingine unaweza kudhani wanaJF wapo busy na maisha kumbe!!!

🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Nimecheka sana Daby.

Kwamba mimi na Marianah popote pale ni mwendo wa ligi tu hata sehemu ambazo yapaswa tuwe romantic🤣🤣

Anyway kuna bonge moja la surprise litakuja hivi karibu linatuhusu mimi na huyo mama la mama.

Stay tuned.
 
Tehteh...haya mkuu kila kheri....kama utaweza kumtuliza isije ikawa hadi PM mlianza na ligi kwanza.
 
Taratibu Lizarazu...huku upo chit chat[emoji85].
Magazeti yako hatuyahitaji[emoji28]
 
Tehteh...haya mkuu kila kheri....kama utaweza kumtuliza isije ikawa hadi PM mlianza na ligi kwanza.
Huyo mbona atatulia tu hapa mzee baba!! Kwanza hata yeye mwenyewe hapa anaona yuko mahala sahihi.

Si unajua mbishi anaonoga akikutana na mbishi mwenzie.

Tukiweka wazi pm zetu mtasinzia maana ni maandishi marefu kama gazeti la the guardian, halafu sasa humo humo ndio kuna mitongozo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…