Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 63,730
- 111,542
Hata sisi tulidai Uhuru kutoka kwa Mabeberu Mkuu, Mbona unajisahaulisha
Tuliwafukuza mabeberu weupe matajiri na wenye akili, saa hii tuko chini ya mabeberu weusi wanuka shida wenzetu, wanaotumia nguvu kuliko akili.