Financial Analyst
JF-Expert Member
- Nov 27, 2017
- 1,849
- 3,506
Mo salah kama upo humu nakushawishi endelea kupost kila mwaka mtu wangu.😂
Dunia ina maigizo mengi na umekataa kuwa katika moja wapo.
Yote haya mafanikio amepata kutokana na kutobaguliwa kutokana na imani yake. Anashangiliwa na kupendwa na hao hao wanaotengeneza miti ya christmas.
Yani mtu anakula maisha na anapata pesa ambayo atakula maisha yake yote na atarithisha watoto wake alafu wewe uliopo mto wa umbu unaleta imani za njaa njaa hapa.
Dunia ina maigizo mengi na umekataa kuwa katika moja wapo.
Yote haya mafanikio amepata kutokana na kutobaguliwa kutokana na imani yake. Anashangiliwa na kupendwa na hao hao wanaotengeneza miti ya christmas.
Yani mtu anakula maisha na anapata pesa ambayo atakula maisha yake yote na atarithisha watoto wake alafu wewe uliopo mto wa umbu unaleta imani za njaa njaa hapa.