Kila la kheri ndugu yangu, allah akujaalie afya njema na uzazi mwema, kijacho awe mtoto mwema, mwenye usikivu kwa wazazi wake, na mcha mungu, awafae duniani na kesho akhera inshaallah.Shukrani kaveli
Kila la kheri ndugu yangu, allah akujaalie afya njema na uzazi mwema, kijacho awe mtoto mwema, mwenye usikivu kwa wazazi wake, na mcha mungu, awafae duniani na kesho akhera inshaallah.
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani ukishahisi tu una mimba ni vzr kwenda RCH/Hospitali maana kuna some complications zinaweza kugundulika na kuwa attended mapema. Pia kuna vipimo muhimu ni vzr kuchukuliwa mapema mf HIV, H pyroli nk.
Ushauri wa lini urudi utaupata huko huko RCH
Hongera, u are a woman!
Sent using Jamii Forums mobile app
Yap, mwanamke kamili ni yule ambaye ana afya ya mwili na uzazi.Hahaha asante mkuu hiyo sentensi hapo kua sasa i am a woman imenifanya nitabasam
Kiref cha RCH ni nn? Regional Clinic hospitals au inamaana gan
Yap, mwanamke kamili ni yule ambaye ana afya ya mwili na uzazi.
RCH- Reproductive and Child Health clinic. Ni kitengo maalum kwa ajili ya afya ya uzazi na devt ya mtoto. Issue zote cha uzazi, chanjo, elimu nk zinatolewa hapo.
Sent using Jamii Forums mobile app
wewe nenda tu hakuna tatizo lolote asisingiziwe mtu tu..
Sent using Jamii Forums mobile app
unamtazama nani sasa??Awamu hii hakuna kupanda daraja mkuu,
Niache hapa hapa kwenye upenzi utazamaji[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
unamtazama nani sasa??
Kitu kimezama bila taarifa bhana! Pokea tu mpendwa! Love the kid since in stomach. U gonna enjoy mothering!Loh!! Si kwa kiref changu nilichotoa hahahahah asante nimeelewa nishajua pa kwenda uzuri hospitals nilizokua natajiwa zote ziko na hiko kitengo
Sikutegemea kubeba kwa kipindi hiki yan hata ile akili kua itaingia kwa sasa nilijua bado kuumwa umwa ndio kukanifanya nikajigundua na hali hiyo nilikua tu surprised na fraha tu
Kitu kimezama bila taarifa bhana! Pokea tu mpendwa! Love the kid since in stomach. U gonna enjoy mothering!
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanasema Mungu huwa hawahi wala hachelewi, bali hujibu kwa wakati wake sahihi. Mshukuru kwa hilo shem!Ni kitu ambacho nilikua nakitamani halaf kikawa hakiji kwenye muda nilokua nataka kimekuja wakat huu sina namna nimekipokea tangu jana nawaza hii safar nilioianza najikuta natabasam tu
Wanasema Mungu huwa hawahi wala hachelewi, bali hujibu kwa wakati wake sahihi. Mshukuru kwa hilo shem!
Sent using Jamii Forums mobile app
we haya tuWale wale wa siku zote