BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,790
- 288,165
Mh! Hongera Best that was fast Woah! I am so happy for both of you. No need to delay the sooner the better in order to make sure that everything is going on well. Make sure you’ve your vitamins and 1mg Folic acid daily.
Naona hizi mvua hizi mhhhhh! 😜
Naona hizi mvua hizi mhhhhh! 😜
Assalam alayqum, ni matumaini yangu mu wazima alhamdulillah
Jamani madokta wa jukwaa hili ninaomba msaada ni wakati gani mama au msichana akishajigundua yu mjamzito yafaa kwenda clinic? Kuna mtu ananambia niende mimba ikifika miezi sita mume anambia kesho asubuh inshallah niamkie huko lakini bado tukawa tunajiuliza je hospital nitakayoenda s ndio itakua hiyo hiyo kwa kipindi chote cha clinic kama Allah akinijaalia uzima? Au waweza pia jiandikisha kwengine clinic ukafanya kwengine kujifungua kwengine
Ni matumaini yangu humu sitakosa msaada