Muda si mrefu home patawaka moto masela wangu

Beira Boy

JF-Expert Member
Joined
Aug 7, 2016
Posts
19,976
Reaction score
32,195
Naomba sasa tuwe pamoja mwanzo mwisho wadau wa jukwaa hili

Hapa home nilipopanga kuna mambo yananitokea yaan ni baraa tupu vioja vya hatari masela wangu nakaa na mama mwenye nyumba na mabinti zake wawili na vitoto vingine vidogo vidogo vina kati ya miaka kumi au kumi na mbili

Sasa huyu binti mmoja mkubwa simwelewi kabisa jaman yaan nikienda choon yeye anaingia bafun nikiingia bafun yeye anaingia choon nikichukia mswaki nisafishe meno naye anakuja nilipo anaanza kuniongelesha ongelesha jana kaja kujipakia mafuta gheto kwangu alafu yupo kwenye kanga tu nayo imeloa balaa akawa anapaka kwa malingo ni baraa mala njoo unipake mara mgongo unawasha nikaona nimupotezee tuu

Jana usiku napo nimeenda bafun usiku aliposikia tu nafungua mlango wa gheto naye akatoka fasta akanifata bafun kavaa kanga tu mara akanikumbatia mtoto anajoto balaa sikumufanya kitu lakin sababu mimi hapa bado mgen lakin kuna siku yake

Sasa masela mnanishaulije vp niwashe moto au nisiwashe ninyi ndo masela wangu nategemea kupata mawazo mazur hapa
Niwashe au nipige chin
 
Achana naye. Kama Umempenda fanya mchakato mfungishwe ndoa muishi mke na mume.
 
Ndoa ya mkeka inakuja, ukipiga bao jitayarishe kulea familia ila kodi utafutiwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…