Labda Itakuwa ni muendelezoHalafu mkuu si ndo ulisema umepata kisu kina vx ww?
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38]Labda Itakuwa ni muendelezo
Story ikishakua kubwa(ndefu) ampalekee shigongo itafaa zaidi.
Kwaiyo huyu boya muda wote anawaza madem tu.
Halafu anakuja kuita watu wazima hapa "masela" zake!
Ndio maana nilisena humu watoto Ni wengi sana na story zao za uongo uongo kuwe na Sheria ukijiunga jamii forum Ni uopewe mwaka ndio uruhusiwe kuanzisha uzi maana hii sasa tooo much imekuwa kama FB.Kwani story zako we ni zp
Kwani hili ni jukwaa gani mkuu?
Daaa!! Mkuu umenifurahisha kinomaaaa!!Dah samaki wanatoka hadi nchi kavu bado wavuvi wanashindwa kukamata ... Fedheha
Hata liwe jukwaa la mbao sema anaonekana dogo anatunga sana story za kindez
Acha kupiga fixNaomba sasa tuwe pamoja mwanzo mwisho wadau wa jukwaa hili
Hapa home nilipopanga kuna mambo yananitokea yaan ni baraa tupu vioja vya hatari masela wangu nakaa na mama mwenye nyumba na mabinti zake wawili na vitoto vingine vidogo vidogo vina kati ya miaka kumi au kumi na mbili
Sasa huyu binti mmoja mkubwa simwelewi kabisa jaman yaan nikienda choon yeye anaingia bafun nikiingia bafun yeye anaingia choon nikichukia mswaki nisafishe meno naye anakuja nilipo anaanza kuniongelesha ongelesha jana kaja kujipakia mafuta gheto kwangu alafu yupo kwenye kanga tu nayo imeloa balaa akawa anapaka kwa malingo ni baraa mala njoo unipake mara mgongo unawasha nikaona nimupotezee tuu
Jana usiku napo nimeenda bafun usiku aliposikia tu nafungua mlango wa gheto naye akatoka fasta akanifata bafun kavaa kanga tu mara akanikumbatia mtoto anajoto balaa sikumufanya kitu lakin sababu mimi hapa bado mgen lakin kuna siku yake
Sasa masela mnanishaulije vp niwashe moto au nisiwashe ninyi ndo masela wangu nategemea kupata mawazo mazur hapa
Niwashe au nipige chin
Yaani umeona masela wako jf? hata nyie mnaochangia mmekubali kuwa masela?Naomba sasa tuwe pamoja mwanzo mwisho wadau wa jukwaa hili
Hapa home nilipopanga kuna mambo yananitokea yaan ni baraa tupu vioja vya hatari masela wangu nakaa na mama mwenye nyumba na mabinti zake wawili na vitoto vingine vidogo vidogo vina kati ya miaka kumi au kumi na mbili
Sasa huyu binti mmoja mkubwa simwelewi kabisa jaman yaan nikienda choon yeye anaingia bafun nikiingia bafun yeye anaingia choon nikichukia mswaki nisafishe meno naye anakuja nilipo anaanza kuniongelesha ongelesha jana kaja kujipakia mafuta gheto kwangu alafu yupo kwenye kanga tu nayo imeloa balaa akawa anapaka kwa malingo ni baraa mala njoo unipake mara mgongo unawasha nikaona nimupotezee tuu
Jana usiku napo nimeenda bafun usiku aliposikia tu nafungua mlango wa gheto naye akatoka fasta akanifata bafun kavaa kanga tu mara akanikumbatia mtoto anajoto balaa sikumufanya kitu lakin sababu mimi hapa bado mgen lakin kuna siku yake
Sasa masela mnanishaulije vp niwashe moto au nisiwashe ninyi ndo masela wangu nategemea kupata mawazo mazur hapa
Niwashe au nipige chin